Mtoto wa Museveni atishia kumkata kichwa Bobi Wine

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amesema isingekuwa baba yake angemkata kichwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine. Jenerali Kainerugaba amechapisha tamko hilo jana Jumapili, Januari 5, 2025 katika ukurasa wake X na kuibua hali ya sintofahamu. “Kabobi…

Read More

Kumbukumbu ya Siri zaidi ya Wanaume na Hukumu ya Aibu ya Waandishi Wawili Waafrika – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatatu, Januari 06, 2025 Inter Press Service STOCKHOLM, Uswidi, Jan 06 (IPS) – Mwaka 2021, mwandishi wa riwaya wa Senegal Mohamed Mbougar Sarr alikua mwandishi wa kwanza kutoka Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa kutunukiwa Tuzo ya Prix Goncourt, tuzo kongwe zaidi ya Ufaŕansa na yenye hadhi ya fasihi….

Read More

Fadlu ategua mtego wa kwanza Simba

Kocha wa Simba, Fadlu Davids amefanikiwa kuruka kihunzi cha kwanza kati ya viwili ambavyo viliwashinda makocha wenzake katika misimu mitatu iliyopita ambayo Yanga ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu. Kigingi ambacho Fadlu amekimudu ni kuiwezesha timu hiyo kumaliza mzunguko wa kwanza ikiwa kileleni na ikiwa imekusanya idadi kubwa ya pointi katika mechi 15 kulinganisha na msimu…

Read More

Pazia la kuchukua fomu za ugombea lahitimishwa Chadema – DW – 06.01.2025

Uchaguzi nkuu wa Chadema utafanyika Januari 21. Kama kuchanga karata za kisiasa hakuna ajuaye moja kwa moja kwamba mwenyekiti anayetetea nafasi yake, Freeman Mbowe au mpinzani wake katika nafasi hiyo, Tundu Lissu amefanikiwa. Hata hivyo, mazingira ya kisiasa ndani ya chama chenyewe yanaonyesha kuna upande mmoja umecheza mchezo wenye kuashiria mengi. Mwanasisasa Jonh Heche na hatua…

Read More

Waziri wa Mipango na Uwekezaji aipongeza Mati Super Brands Ltd kwa ulipaji kodi ya serikali

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amewapongeza wawekezaji wazawa wa Kiwanda cha Mati Super Brands Limited kwa kulipa kodi stahiki za serikali na kutengeneza ajira kwa vijana hali inayochochea maendeleo ya Mkoa wa Manyara na taifa kwa ujumla. Akizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho leo, Profesa mkumbo alisema wawekezaji…

Read More