Okutu aweka ngumu Pamba Jiji

KITENDO cha mabosi wa Pamba Jiji kutaka kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa timu hiyo, Eric Okutu, kambi ya mchezaji huyo Mghana imeibuka na kudai haikubaliani na jambo hilo, isipokuwa kwa sharti moja la kuuvunja mkataba uliobaki wa miezi sita. Viongozi wa Pamba wanahitaji kumpeleka Okutu kwa mkopo KenGold na hii ni baada ya kuinasa saini…

Read More

Simba robo fainali CAF hii hapa, andaeni suti

SIMBA jana usiku ilifanya makubwa huko Tunisia ikiipasua CS Sfaxien kwa bao 1-0 la kiungo Jean Charles Ahoua, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akianza mapema kuisoma Bravos do Maquis ya Angola watakayovaana nayo wikiendi hii, akilenga kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika akiwa ugenini Angola huku akiwa na mechi moja…

Read More

Simba yatanguliza mguu mmoja robo fainali

BAO pekee lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua limeipa Simba ushindi wa kwanza ugenini msimu huu katika mechi za Kombe la Shirikisho Afrika  baada ya kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia na kutanguliza mguu mmoja kufuzu robo fainali. Ushindi huo wa kihistoria kwa Simba katika ardhi ya Afrika Kaskazini ulipatikana usiku huu kwenye Uwanja wa…

Read More

Simba yaongeza Straika | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumtambulisha golikipa, Wilfrida Seda kutoka Get Program, timu hiyo imemvuta tena straika Janet Mpeni kutoka timu hiyo. Kama usajili huo utakamilika, Simba Queens hadi sasa itakuwa imefikisha nyota watatu, Seda, Mpeni na Zawadi Khamis kutoka Fountain Gate Princess ambaye hajatambulishwa kikosini hapo. Nyota huyo kwa sasa yuko kwenye majukumu ya timu…

Read More

SHIKA KITITA CHA MAANA LEO

JUMAPILI ya kuondoka kinara na wakali wa ubashiri Tanzania umefika ambapo Meridianbet inakupa nafasi ya kuibuka bingwa leo. Wababe wengi kuchuana huku wewe ukiondoka na mkwanja mzito. EPL leo hii kuna mechi mbili tuu ambapo mechi ya mapema ni hii ya Fulham dhidi ya Ipswich ambao wametoka kushinda mechi yao iliyopita. Tofauti ya pointi kati…

Read More

Simba yaandika historia ya kibabe Tunisia

SIMBA imefanya unyama mwingi sana baada ya usiku wa leo kupata ushindi wa kwanza wa kihistoria katika ardhi ya Waarabu kwa kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia kwa bao 1-0. Bao hilo pekee la dakika ya 34 lililowekwa kimiani na Jean Charles Ahoua, liliiwezesha pia Simba kupata ushindi wa kwanza ugenini katika michuano ya Kombe la…

Read More