
Bado Watatu – 9
Lakini nilichokiona mbele yangu kilinifanya nigwaye. Kulikuwa na mwili wa mtu uliokuwa ukining’nia kwenye kamba katikati ya sebule!
Lakini nilichokiona mbele yangu kilinifanya nigwaye. Kulikuwa na mwili wa mtu uliokuwa ukining’nia kwenye kamba katikati ya sebule!
Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa 2025, utakuwa na uwakilishi wa wanawake 34 wanaogombea ubunge majimboni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) huku katika mikoa 13 chama hicho kikiteuka wanaume pekee. Ingawa idadi hiyo ya wanawake walioteuliwa na chama hicho kugombea ubunge majimboni imeongezeka ukilinganisha na ile ya mwaka 2020, wadau wanasema bado hatua iliyopigwa hairidhishi…
Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….
Dar es Salaam. Biashara ya bidhaa bandia inaendelea kuathiri uchumi wa Tanzania, huku takwimu zikionesha Serikali inapoteza zaidi ya Sh1.7 trilioni kila mwaka kutokana na ukwepaji wa kodi ya bidhaa kwenye sekta za pombe na sigara. Tatizo hilo limekithiri zaidi katika maeneo ya mipakani kama Kigoma, Songwe, Katavi, Mbeya, Musoma mkoani Mara na Kagera, pamoja…
Handeni. Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Salum Nyamwese amewataka wafugaji wilayani humo kujitokeza kuchanja mifugo ili kudhibiti magonjwa ya kideri, sotoka na homa ya mapafu ambayo ndio yanayosumbua zaidi mifugo. Akizungumza wakati wa mwendelezo wa kuzindua kampeni ya chanzo ya mifugo kwenye kata mbalimbali za wilaya hiyo leo Jumatatu Agosti 25, 2025 amesema…
Dar es Salaam. Mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Tabora na Geita imetajwa kuwa kinara nchini kwa wazazi kuhamisha watoto wao wanaosoma shule za msingi kwenda maeneo mengine nchini. Jambo hilo linatajwa kuchangiwa na kuhama kwa wazazi wao kikazi, kutafuta sehemu ambazo watoto wanaweza kupata elimu bora na usalama wa wanafunzi. Ripoti ya Best Education…
Pazia la uchukuaji wa fomu za kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limefunguliwa rasmi leo, ambapo mwanasiasa mahiri Angela Kairuki amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kibamba. Fomu hiyo imekabidhiwa kwake na Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Ubungo, Bi. Rose Mpeleta. Mara baada ya kukabidhiwa fomu, Kairuki alieleza kuwa yeye na…
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Muharami Ahmed, kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kupatikana na hatia ya usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya heroini na bangi. Mshtakiwa huyo anadaiwa kusafirisha Heroini zenye uzito wa gramu 1.58 pamoja na bangi yenye uzito wa kilo 1.04, katika bandari ya Dar…
Moto wa bunduki ulirarua giza. Usiku baada ya usiku, daktari wa miaka 44 kutoka Guinea alishikilia kwa matumaini kwamba mji uliozingirwa ungeshikilia kwa njia fulani. Halafu, asubuhi moja mwishoni mwa Januari, simu ilikuja: Yeye na wafanyikazi wa kimataifa waliobaki walipaswa kuhamishwa mara moja. “Tulichukua ndege ya mwisho,” alikumbuka. Masaa baadaye, Goma alikuwa mikononi mwa M23….
Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…