Balozi Bandora afariki dunia, kuzikwa Desemba 16

Dar es Salaam. Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa nchini Eswatini na Namibia, Timothy Bandora (72), amefariki dunia akiwa jijini Nairobi, nchini Kenya, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Bandora, ambaye aliitumikia Serikali kuanzia awamu ya kwanza hadi ya tatu, alitekeleza majukumu mbalimbali ya…

Read More

Chama la kina Lunyamila linakwama hapa

CHAMA la Watanzania wawili, Julietha Singano na Enekia Kasonga ‘Lunyamila’ wanaokipiga FC Juarez inayoshiriki Ligi ya Wanawake Mexico bado lina changamoto kwenye eneo la ushambuliaji. FC Juarez iko nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi hiyo yenye timu 18, kwenye mechi 17 imeshinda saba, sare sita na kupoteza nne ikifunga mabao 24 na kuruhusu 27….

Read More

Mabula atamani rekodi mpya Azerbaijan

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema anatamani kuvunja rekodi yake binafsi ya msimu uliopita baada ya kufikisha mabao matatu na asisti tatu alizochangia 2024-25. Huu ni msimu wa pili wa kiungo huyo wa timu ya taifa, Taifa Stars kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alicheza nusu msimu alipojiunga na Shamakhi akitokea…

Read More

Kilio cha ajira kilivyokuwa mjadala 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 sekta ya ajira imeendelea kuwa ajenda nzito ya kitaifa, ikibeba mjadala mpana miongoni mwa vijana na wadau wa maendeleo, huku ikigusa matumaini, changamoto na mwelekeo mpya wa uchumi wa Taifa. Licha ya uwekezaji unaoendelea na mipango mbalimbali ya Serikali, wadau wanaeleza kuwa mustakabali wa ajira kwa vijana utategemea zaidi ubunifu,…

Read More

Mweka kuzalisha wataalamu wa saikolojia katika utalii

Moshi. Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka kimepanga kuanzisha programu ya saikolojia katika utalii, itakayolenga kutambua na kuelewa kwa kina malengo, mitazamo na matarajio ya watalii wanaoingia nchini. Hatua hiyo inalenga kuimarisha utoaji wa huduma bora pamoja na kuboresha usimamizi endelevu wa sekta ya utalii na uhifadhi wa rasilimali za asili nchini. Hayo yamesemwa na…

Read More

Mbarali kutenga Sh1 bilioni kuboresha maeneo korofi

Mbarali. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, inatarajia kutumia zaidi ya Sh1 bilioni kwa ajili ya kuboresha maeneo korofi ya miundombinu barabara za  pembezoni . Katika hatua nyingine imeweka mikakati ya kutenga bajeti ya mapato ya ndani kwa mwaka huu wa fedha kwa lengo la kununua mtambo wa kisasa wa kuchonga na kuboresha…

Read More

CEOrt, IUCN kuimarisha sekta ya utalii

Arusha. Urejeshaji wa mandhari ya kimazingira, ulinzi wa vyanzo vya maji, upanuzi wa uhifadhi wa wanyamapori unaoongozwa na jamii, pamoja na uwekezaji katika mifumo ya ikolojia ya kaboni ya buluu (blue carbon), ni miongoni mwa njia zilizotajwa na wadau katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwenye sekta ya utalii. Njia hizo zimetajwa wakati Jukwaa la…

Read More