Uchaguzi Chadema: Ni vita ya wakubwa

Mwanza/Dar. Wakati dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) likifungwa, mchuano unasubiriwa baina ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu na ule wa Ezekiel Wenje na John Heche kwa nafasi ya makamu mwenyekiti-Bara. Miamba hao wa siasa ndani ya chama hicho, watamaliza ubishi wa nani zaidi Januari…

Read More

Usichokijua matokeo ya la nne, kidato cha pili

Dar es Salaam. Wakati Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) likitangaza kuendelea kuimarika kwa ufaulu wa matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, Mwananchi imebaini somo la fikizia, kemia na  hisabati bado ni mwiba kwa wanafunzi wa sekondari. Pia, imebaini idadi ya wanafunzi wanaorudia kidato cha pili imeongezeka kwa mwaka 2024 ikilinganishwa na…

Read More

UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI WAFIKIA ASILIMIA 99.9

Vitongoji 33,657 vimefikiwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati ya vijiji 12,318 ambayo ni sawa na asilimia 99.9. Hayo yamebainishwa leo tarehe 5 Januari, 2025 na Mkurugenzi wa Umeme Vijijini, Mha. Jones Olotu wakati akiwasilisha taarifa ya hali ya…

Read More

Mashuhuda wasimulia Mutajura ‘alivyotekwa’ Dar

Dar es Salaam. Matukio ya watu kudaiwa kutekwa yameendelea kuripotiwa nchini, baada ya jana kudaiwa kutekwa kwa mkazi wa Dar es Salaam, Dastan Mutajura eneo la Buza -Sigara. Taarifa za kutekwa kwa Mutajura zilisambaa mtandaoni, zilidai lilitokea wakati akienda kazini akitokea nyumbani kwake eneo la Kitunda. Kutokana na taarifa hiyo, asubuhi ya leo Jumapili, Januari…

Read More

Mtalii afariki dunia, watano wajeruhiwa ajalini Ngorongoro

Arusha. Mtalii mmoja raia wa Israel ambaye jina lake halijafahamika (mwanamke) amefariki dunia huku wengine watano wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Januari 5, 2025 na Kaimu Meneja wa Uhusiano wa Umma wa NCAA, Hamis Dambaya imeeleza ajali hiyo imetokea…

Read More

Russia yaidungua ndege ya Ukraine, Blinken aikatia tamaa

Moscow. Vikosi vya Russia vimedungua ndege ya kivita ya Ukraine aina ya MiG-29, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Januari 5, 2025 na Wizara ya Ulinzi ya Russia. Wizara hiyo imesema vikosi vya Ukraine, pia, vimepoteza makombora kadhaa yaliyotengenezwa katika mataifa ya magharibi ikiwemo gari ya kivita aina ya Bradley. “Mashambulizi 17 yaliyorushwa na…

Read More