
Wajerumani wamjibu Musk akidaiwa kuingilia uchaguzi wao wa bunge
Ujerumani. Wakati uchaguzi wa wabunge ukitarajiwa kufanyika nchini Ujerumani Februari 23, 2025, Serikali ya nchi hiyo imemshutumu bilionea wa Marekani, Elon Musk kwamba anajaribu kujiingiza kwenye uchaguzi huo kwa kukipigia debe chqmq kimoja wapo kati ya vinavyoshindana. Musk anadaiwa kukipigia debe chama cha siasa cha mrengo wa kulia cha Alternative for Germany AfD), hata hivyo…