Aisha Masaka kuiwahi Chelsea | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Aisha Masaka anayekipiga Brighton & Hove Albion ameondoka nchini baada ya likizo ya wiki moja na anatarajia kurejea uwanjani mwishoni mwa Februari kuuwahi mchezo wa Ligi dhidi ya Chelsea utakaopigwa Machi 02. Masaka alipata jeraha la bega kwenye mchezo wa Ligi Kuu England (W) dhidi ya Arsenal Novemba 9 mwaka huu uliomuweka…

Read More

Watengeneza maudhui yasiyofaa mitandaoni wanyooshewa kidole

Dar es Salaam. Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii bila shaka utakuwa unafahamu mizaha (Pranky) ya watengeneza maudhui yasiyofaa kwa lengo la kupata ufuatiliaji kwa watumiaji. Hivi karibuni kumekuwa na maudhui yenye kuzua taharuki kwenye jamii ili mradi muhusika afuatiliwe katika mtandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Facebook, X  na TikTok. Mfano juzi tumeona video iliyosambaa…

Read More

Wabongo nguvu sawa Uturuki | Mwanaspoti

BAADA ya tambo za Watanzania wawili wanaokipiga katika Ligi ya Walemavu nchini Uturuki hatimaye mechi baina ya timu zao imemalizika kwa sare ya 1-1. Nyota hao ni Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe na Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee ambao walikutana kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliojaa ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti, Shedrack ambaye pia aliifunga timu…

Read More

Kinda Mbongo anakiwasha tu Australia

BEKI wa kulia Mtanzania, Kealey Adamson anayekipiga katika timu ya Macarthur ya Australia amekuwa mhimili mkubwa wa timu hiyo kwenye eneo la ulinzi. Kinda huyo mwenye miaka 20 ni Mtanzania mwenye asili ya Australia na aliwahi kucheza klabu moja na Charles M’mombwa ambaye amekuwa akiitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’. Timu hiyo…

Read More

Gadiel aitosa Chippa UTD | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Tanzania, Gadiel Michael ameachana na Chippa United ya Afrika Kusini huku sababu za kuondoka klabuni hapo hazijulikani. Nyota huyo wa zamani wa Simba na Yanga ambaye wakati mwingine amekuwa akitumika kama kiungo ndani ya timu hiyo ya Chippa, alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Gusa achia ilivyoibeba Yanga kwa TP Mazembe

WALE waliokuwa wakiiponda Yanga ya Sead Ramovic kwamba haina kitu, kwa sasa huenda wanatafuta mahali pa kuficha sura zao, kwa namna Gusa Achia Twende Kwao ilivyoanza kulipa kwa kikosi hicho kuzitaabisha timu pinzani, kama ilivyofanya juzi kwa TP Mazembe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Ni kweli Yanga ilianza kichovu mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Safiri mpaka msitu wa wachawi na Sloti ya Fairy Forest!

Ili kupata Maokoto mengi tunakushauri kuanza safari fupi kwenda kwenye msitu wa kichawi kwenye sloti hii utakutana na mabinti wa msituni. Ingia mchezoni wenye viwango vya bonasi ya kasino huku ukizawadiwa na bonasi ya ukaribisho kwa mteja mpya wa Meridianbet. Fairy Forest ni sloti ya mtandaoni inayotolewa na mtoa huduma Platipus. Katika mchezo huu wa…

Read More

Heche kumuunga mkono Lissu, ampongeza Mbowe kukikuza chama

Mwanza. Uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) unazidi kupamba moto baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, John Heche kuchukua na kurejesha fomu kuwania nafasi ya umakamu mwenyekiti – bara. Heche aliyewahi kuwa mbunge wa Tarime Vijijini amesisitiza kuwa anayeweza kusimamia malengo ya kuanzishwa chama hicho kwa sasa ni…

Read More

NBC yasisitiza dhamira yake kusaidia miradi ya kijamii, Kikwete apongeza

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na serikali katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ile inayohusiana na afya, ikibainisha kuwa hatua hiyo ni chachu muhimu zaidi katika kuchochea kasi ya maendeleo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Dhamira hiyo ya NBC ilisisitizwa na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

Sera ya uchumi wa buluu kutekelezwa kisayansi

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kuitekeleza kisayansi sera ya uchumi wa buluu, hivyo itaweka nguvu katika tafiti za rasilimali za bahari. Dk Mwinyi amesema hayo leo Jumapili, Januari 5, 2025 wakati uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la taaluma na utawala la Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS)…

Read More