Wawili waliohukumiwa kifo kwa kumuua bodaboda waachiwa huru
Arusha. Mahakama ya Rufani imewaachia huru Fred Nyagawa na Isaya Mgimba, waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua dereva bodaboda, Mchape Mkosa. Aidha, Mahakama hiyo imethibitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa James Mteleke. Fred, Isaya na James walihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, Novemba 12,…