
Urusi yaapa kulipiza kisasi baada ya mashambulizi ya Ukraine – DW – 04.01.2025
“Hatua hizi za serikali ya Kyiv, ambayo inaungwa mkono na washirika wa Magharibi, itakabiliwa na kisasi,” ilisema taarifa ya wizara ya ulinzi ya Urusi ikiishutumu Ukraine kwa kulenga eneo la mpakani la Belgorod kwa makombora ya masafa marefu. Hata hivyo Moscow imesema ilifanikiwa kuyadungua makombora manane ya ATACMS na kuonya kwamba matumizi yake yanaweza kuzua…