Kapombe aitaka ndoo afrika | Mwanaspoti

BEKI mahiri wa Simba, Shomary Kapombe ameweka wazi kwamba ndoto yake kubwa kwa sasa ni kutwaa ubingwa wa michuano ya kimataifa, iwe Ligi ya Mabingwa Afrika au Kombe la Shirikisho. Kapombe amecheza mara kadhaa katika hatua za juu za michuano ya kimataifa akifika robo fainali mara tatu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (misimu ya 2020–21,…

Read More

UN inahitaji ulinzi wa haraka kwa wanawake na wasichana walio katika mazingira magumu – maswala ya ulimwengu

Kama misaada ya dharura inapoingia, wanawake na wasichana ambao tayari walikuwa katika mazingira magumu kwa sababu ya miaka ya migogoro, uhamishaji na kutokuwa na utulivu wa kiuchumi, sasa wanakabiliwa na hatari kubwa zaidi kutoka Vurugu za msingi wa kijinsia na unyonyaji. Kulingana kwa umoja unaoongozwa na un kujibu shida. “Wasichana wana hatari kubwa, haswa wanapotengwa…

Read More

Wajibu wa mwanaume kununua zawadi kwa mwenza wake

Dar es Salaam. Wakati wanaume wakiona ni wajibu kutoa zawadi kwa wanawake, wao wanasema hilo linatokana na utamaduni uliojengeka kwa muda, hivyo kuwa kama mazoea. Mbali ya hilo, baadhi ya wanawake wanasema isiwe mazoea ya kupokea pekee, bali pia nao watoe, huku ikishauriwa zawadi zitolewe kwa nyakati maalumu kama vile katika sherehe za kuzaliwa ili…

Read More

SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatoa fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu Kidato cha Nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi itakayomwandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yao ya baadae. Utaratibu huo umeanza Machi 31 hadi Aprili 30 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa Habari leo tarehe 02.04.2025 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi,…

Read More

Mtifuano mpya Ma-RC waongeza joto majimboni

Dar es Salaam.  Unakumbuka Machi 11, 2025, Rais Samia Suluhu Hassan alipoagiza wateule wake, wakiwemo wakuu wa mikoa wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali, kutoa taarifa mapema, ili nafasi zao ziweze kujazwa kwa wakati? Sasa hali hiyo inajidhihirisha wazi, kwani baadhi ya viongozi hao, hasa wakuu wa mikoa, wanatajwa kuanza harakati za kuwania ubunge katika…

Read More

TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO

  KLABU ya Simba imeshindwa kutamba ugenini katika hatua ya robo fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry ya nchini Misri baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Suez nchini humo. Katika mchezo huo licha ya kuutawala mchezo kwa kiwango kikubwa, Simba haikufanikiwa kupata bao katika nafasi…

Read More

Waliofanya usaili ajira za TRA matokeo kutoka Aprili 25

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30, 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi Aprili 23, 2025. Akizungumzia mchakato huo leo Jumatano Aprili 2, 2025 Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na…

Read More

MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na Mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu. Akizungumzia mchakato huo wa ajira za TRA leo tarehe…

Read More

Utawala unazuia misaada, kuagiza mgomo wa hewa katika mshtuko wa myanmar-maswala ya ulimwengu

Wafanyikazi wa uokoaji wanatafuta kumfungulia mwanamke mjamzito aliyevutwa katika magofu ya Sky Villa huko Mandalay, Myanmar ya Kati. Mikopo: Mwandishi wa IPS na Guy Dinmore (London/Mandalay) Jumatano, Aprili 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari London/Mandalay, Aprili 2 (IPS) – Kuongeza matarajio ya kukata tamaa ya kupata waokoaji, wafanyikazi wa uokoaji kutoka Myanmar na Uturuki…

Read More