KITUO KIPYA CHA AFYA CHA CURE SPECIALIZED POLYCLINIC CHAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM, CHAAHIDI KUTOA HUDUMA ZA KISASA ZA AFYA

Na Humphrey Shao, Michuzi tv Kituo kipya cha Afya cha The Cure Specialized Polyclinic kimeziduliwa rasmi leo na papo hapo kusema, kimeajiandaa kuweka kambi maalum ya kutoa huduma za vipimo na matibabu katika kushiriki siku ya Kansa Duniani itakayoadhimishwa mwezi ujao wa Februari mwaka huu. Kituo hicho kimesema, kwenye kambi hiyo, kitatoa chanjo ya Saratani…

Read More

Kapama akizingua, Loth anatua Fountain

WAKATI mabosi wa Fountain Gate wakiendelea kusaka kocha mpya baada ya kumtimua Mohamed Muya, pia wako katika hesabu za kumpata aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Yanga na Singida Black Stars (zamani Ihefu), Rafael Daud Loth. Hesabu za mabosi hao zinajiri baada ya dili la Nassor Kapama kutoka Kagera Sugar kuonekana linaleta shida kutokana na uongozi…

Read More

Othman: Serikali inalenga kutanua fursa za elimu Zanzibar 

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amesema uimarishaji wa miundombinu ya shule ni ishara kuwa, Serikali inalenga kutanua fursa ya elimu na kuhakikisha hakuna kijana anayekosa haki ya kupata elimu. Othman amesema hayo leo Jumapili, Januari 5, 2025 Maungani Wilaya ya Magharibi B Unguja baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule…

Read More

Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu Davids anapaswa kumtumia tofauti. Kocha huyo,  Raoul Shungu aliyasema hayo jana alipozungumza na Mwanaspoti kutoka DR Congo akieleza namna Simba ilivyolanda dume kumsajili…

Read More

Burkina Faso yachomoa bao ‘jiooni’

Bao la dakika ya 90 lilifungwa na Aboubacar Troure wa Bukina Faso lilizima matumaini ya Harambee ya Kenya kushinda mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi 2025 baada ya kutoka sare ya 1-1 katika pambano kali la michuano hiyo kwenye Uwanja wa Gombani, kisiwani hapa. Mchezo huo ambao ulipigwa juzi usiku na kuhudhuriwa na mashabiki…

Read More

Dkt Kikwete Akoshwa na Ushiriki wa Wadau Binafsi Kwenye Miradi ya Maendeleo, Aipongeza Benki ya NBC.

Rais Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete amepongeza ushirikiano baina ya wadau binafsi na serikali katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ile inayohusiana na afya, akibainisha kuwa hatua hiyo ni chachu muhimu zaidi katika kuchochea kasi ya maendeleo nchini. Dkt. Kikwete alitoa pongezi hizo mwisho wa wiki wakati akizindua rasmi Kituo cha Afya cha kisasa cha…

Read More