Utafutaji watoto wa jinsi fulani unavyovuruga familia

Dar es Salaam. Mume amechepuka. Mchepuko ameshika ujauzito, hatimaye mtoto wa kiume amezaliwa. Ni mume wa mke aliyefunga naye pingu za maisha miongo mitatu iliyopita na kujaaliwa watoto wanne wote wa kike. Hatimaye siri imefichuka. Mke na watoto wamejua kwamba baba ana mtoto nje ya ndoa na familia imegeuka tanuru la moto. Mume analaumiwa kwa…

Read More

Udhaifu katika ndoa ni sehemu ya ndoa

Kanada. Kwanza, kila binadamu ana ubora na udhaifu, hata awe mzuri au mbaya kiasi gani. Hivyo, wanandoa wanaposhughulikia ubora au udhaifu wao, wanapaswa kukumbuka kuwa wote ni binadamu wenye mapungufu. Unaweza kuwa msomi mkubwa tu, tajiri, mwelewa si kawaida, mkarimu hata katili vipi, bado una ubora na udhaifu wako. Hivyo, tukubali na tujue haya yanatuhusu…

Read More

Ukali wa mzazi unavyoweza kuathiri uhusiano na mtoto

Dar es Salaam. Wanasema samaki mkunje angali mbichi, methali hii inashabihiana na aina ya jamii za Afrika na dunia kwa ujumla, ambapo moja ya majukumu ya mzazi katika familia ni kuhakikisha mtoto anakuwa katika maadili bora na upendo, huku mshikamo ukisimama kama nguzo muhimu katika familia. Ni dhahiri kuwa baadhi ya tabia za watoto kama…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTI: Kila ninayempata hazungumzii kunioa

Anti habari, naomba unisaidie mawazo na mbinu maana hili limenishinda kabisa.Sijisifii, ila ni mzuri wa sura, umbo la kuvutia na nina kazi nzuri inayonipatia kipato cha kukidhi mahitaji yangu na kusaza. Pia sijifichi ndani kama utumbo, najua kujichanganya kwenye kupoteza mawazo kama wafanyavyo wengine. Changamoto niliyonayo sipati mwanamume anayeonyesha nia ya kwenda mbali na mimi…

Read More

SACP SENGA – FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA

Na Issa Mwdangala Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Ignace Senga amefanya baraza na askari wa Mkoa wa Songwe Januari 03, 2025 katika ukumbi wa Polisi uliyopo Vwawa Wilaya ya Mbozi na kuwataka askari hao kuendelea kutekeleza jukumu mama la kulinda raia na mali zao ikiwa ni pamoja…

Read More

Daraja lililovunjika Same kujengwa usiku na mchana

Same. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka wataalamu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) wanaojenga Daraja la Mpirani wilayani Same kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha linakamilika ndani ya siku tatu. Daraja hilo lililopo Kijiji cha Mpirani, Kata ya Maore, lilivunjika Januari 2, 2025 baada ya nguzo kuathiriwa na maji ya mvua. Kuvunjika kwa daraja…

Read More