WAKAZI 5883 SINAI NA LONDONI MANISPAA YA SONGEA KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI SAFI NA SALAMA
Na Belinda Joseph, Songea Ruvuma. Wakazi elfu 5883 wa maeneo ya Sinai na Londoni Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma ambao wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji , wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji safi na salama unaotekelezwa kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia 14 Februari 2025 na unatarajiwa kukamilika Machi 2026…