Stars yapewa refa ‘nuksi’ Morocco

REFA asiye na historia nzuri na timu za Tanzania, Alhadi Allaou Mahamat kutoka Chad, ndiye amepangwa kuchezesha mechi ya ugenini ya Taifa Stars’ dhidi ya Morocco, Jumatano Machi 26, 2025 ya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa Manispaa, mjini Oujda, kuanzia saa 6:30 usiku kwa muda wa…

Read More

Serikali kushirikiana na wadau kutengeneza fursa za ajira kwa vijana

Dar es Salaam. Wakati kilio cha ajira kwa vijana kikiendelea kushika kasi nchini, Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau katika kutengeneza fursa mbalimbali kwa kundi hilo. Fursa hizo ni zile zitakazowajengea uwezo vijana na kuwapa maarifa yatakayowawezesha kujiajiri na kuajiri wengine. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Patrobas…

Read More

Kuhifadhi barafu – maswala ya ulimwengu

Glaciers katika SADC ni pamoja na zile zinazopatikana kwenye Mount Kilimanjaro (Tanzania), kwenye Milima ya Drakensberg (Afrika Kusini na Lesotho, pichani), kwenye Mafadi Peak (Afrika Kusini), na kwenye Maloti Range (Lesotho) na Ras de Gallo Range (Mozambique). Mikopo: Shutterstock. Maoni na Thokozani Dlamini (Pretoria, Afrika Kusini) Ijumaa, Machi 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Sababu za kupungua miamala ya kutoa kwa mawakala

Dar es Salaam. Wakati kiwango cha fedha kinachowekwa benki kupitia mawakala kikiongezeka kuliko kile kinachotolewa, wachumi wamesema inaweza kuwa moja ya hatua nzuri kueleke uchumi wa kidijitali. Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha kuwa katika robo ya mwaka iliyoishia Septemba 2024 zaidi ya Sh25.84 trilioni zilizowekwa benki katika kipindi…

Read More