MRADI WA MAJI NGUMBO GROUP AWAMU YA PILI WAFIKIA ASILIMIA 75 KATA ZA NGUMBO NA LIWUNDI NYASA
Na Belinda Joseph, Nyasa Ruvuma. Wakazi wa Kata ya Ngumbo na Liwundi waliopo katika vijiji vitano vya Ngumbo, Mbuli, Mkili, Liwundi na Yola wapatao elfu 11080 wanatarajiwa kupata huduma ya maji safi na salama kwenye maeneo yao wanayoishi na hivyo kutumia muda mwingi kufanya shughuli za kujiongezea kipato pamoja na kupunguza magonjwa ya mlipuko kama…