
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AMLILIA JAJI WEREMA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki mazishi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema, yaliyofanyika tarehe 04 Januari, 2025 katika Kijiji cha Kongoto, Wilayani Butiama Mkoani Mara. Akizungumza wakati wa utoaji wa Salamu za Pole, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, amesema kuwa Jaji Werema alijitolea kwa hali na mali…