
Straika Coastal Union atwishwa zigo
KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema mshambuliaji mpya wa kikosi hicho raia wa Mali, Amara Bagayoko atakuwa na msimu bora ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo alionao, licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza kikosini. Nyota huyo ametambulishwa katika dirisha hili dogo la usajili, japokuwa Mwanaspoti linatambua Bagayoko alikuwa na timu hiyo tangu…