Straika Coastal Union atwishwa zigo

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema mshambuliaji mpya wa kikosi hicho raia wa Mali, Amara Bagayoko atakuwa na msimu bora ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo alionao, licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza kikosini. Nyota huyo ametambulishwa katika dirisha hili dogo la usajili, japokuwa Mwanaspoti linatambua Bagayoko alikuwa na timu hiyo tangu…

Read More

Mechi 10 zaishtua Simba Tunisia

Simba imetazama historia ya mechi zake 10 zilizopita za kimataifa ilizocheza ugenini na kugundua ina kazi kubwa ya kufanya katika mechi ya kesho jijini Tunis, Tunisia itakapocheza na CS Sfaxien ya huko. Katika mechi hizo 10 zilizopita za kimataifa ambazo Simba imecheza ugenini, haijapata ushindi huku ikitoka sare tano na kupoteza michezo mitano. Na mechi…

Read More

Watano wafariki dunia Russia, Ukraine zikikoleza vita

Kiev. Takriban watu watano wamefariki dunia katika majibizano ya makombora kati ya vikosi vya Russia na Ukraine, Ijumaa Januari 3, 2025. Miongoni mwa mashambulizi yaliyosababisha vifo hivyo ni shambulizi la kombora la Russia katika Jiji la Chernigiv nchini Ukraine. Tovuti ya The Guardian imeripoti kuwa kombora hilo lilirushwa na kupiga eneo la makazi na kusababisha…

Read More

DC Malinyi ampongeza Mkurugenzi Katimba

  MKUU wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Sebastian Waryuba, amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Khamis Katimba kwa kukusanya asilimia 82 ya mapato ya ndani katika miezi sita pekee (Julai – Desemba 2024). Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Akizungumza katika kikao cha wadau wa maendeleo wa wilaya hiyo tarehe 4 Januari 2025,…

Read More

ABIRIA WATAKIWA KUKATA TIKETI KWA KUTUMIA MFUMO WA KIDIGITALI

Na Mwandishi Wetu,  Dodoma.  Abiria wametakiwa kuwajibika kwa kuhakikisha wanakata tiketi zao kwa kutumia mfumo wa kielektroniki ili kupunguza changamoto ambazo wamekuwa wakikumbana nazo hasa wakati wa kusafiri. Hayo yameelezwa leo Januari 4,2025 Jijini Dodoma na Koplo Esther Makali kutoka Ofisi ya Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Dodoma, Dawati la Elimu kwa…

Read More

Kaya 400,000 zaondolewa mpango wa Tasaf

Unguja. Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) katika utekelezaji wa afua mbalimbali, umehitimisha kaya za walengwa 400,000 nchi nzima, kati ya hizo 22,400 zinatoka Zanzibar. Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf, Shedrack Mziray amesema hayo kwenye uzinduzi wa Kituo cha Afya Kinyikani, Pemba kilichojengwa na mfuko huo. “Kaya hizi baada ya kuhudumiwa na mpango kwa takribani miaka…

Read More

Sababu ZRA kuvuka lengo makusanyo Julai-Desemba

Unguja. Wakati Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) katika kipindi cha nusu ya kwanza cha Julai hadi Desemba 2024 ikikusanya Sh429.033 bilioni sawa na ufanisi wa asilimia 102 ya makisio, sababu 10 zimetajwa kuchangia hali hiyo. Taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna wa ZRA, Said Ali Mohamed kwa vyombo vya habari leo Januari 4, 2025 imesema miongoni…

Read More

Nashon: Dili la Yanga limekwamia hapa!

KIUNGO aliyekuwa anatajwa kujiunga na Yanga na ghafla dili lake kukwama, Kelvin Nashon ametoa sababu za kukwama kuwa ni kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha Singida Black Stars, huku akidai kuwa muda mwingine ikitokea nafasi atacheza. Yanga ilituma ofa ya kumtaka Nashon kwa mkopo dilisha hili la usajili na mambo yalikwenda…

Read More