Kagere autaja msimu wake bora Bara

STRAIKA wa Namungo, Mnyarwanda Meddie Kagere (MK 14 the Terminator), amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara msimu wake bora ni ule wa kwanza 2018/19 ambao alimaliza na mabao 23 – akichangia zaidi ya robo ya mabao 62 ya Simba. Katika msimu huo Simba ilikuwa bingwa ikiwa na pointi 93, ikimaliza na mabao 62 ambapo…

Read More

Wadau wataka haki itendeke ili kulinda amani

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa wito wa kulinda amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, wadau kutoka makundi mbalimbali wametilia mkazo umuhimu wa haki na usawa katika jamii ili kuimarisha utulivu wa nchi. Wakitoa maoni yao kwa nyakati tofauti, wadau hao wameeleza kuwa amani ya kweli inaweza…

Read More

Miili ya wanakwaya sita Same yaagwa, kuzikwa kesho Chome

Same. Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro imeagwa leo Aprili Mosi, 2025. Ajali hiyo ilitokea Machi 30, 2025 eneo la barabara ya Bangalala, wakati wanakwaya hao wakitokea Chome kuelekea Vudee kuinjilisha. Gari walilokuwa…

Read More

Minziro atoa kauli nzito dhidi ya Namungo

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Mashujaa FC kwenye Kombe la Shirikisho (FA) na kutinga robo fainali umekipa kikosi chake motisha na hali ya kujiamini ambayo itawasaidia kesho kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo. Pamba Jiji FC itakuwa mwenyeji wa Namungo FC…

Read More