NELSON MANDELA NA TMA KUWAJENGEA UWEZO WATAALAMU WA HALI YA HEWA KUPITIA TEKNOLOJIA YA AKILI MNEMBE.
Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Maulilio Kipanyula (kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini Dkt. Ladislaus Chang’a (kushoto) wakionyesha hati za makubaliano mara baada ya kusaini Machi 31,2025 jijini Arusha. Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (…