
Ulaya kuisaidia Syria ya baada ya Assad – DW – 03.01.2025
Mara tu baada ya kulitembelea gereza lenye historia ya ukatili na mateso la Sednaya kaskazini mwa mji mkuu, Damascus, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Noel Barrot, na mwenzake wa Ujerumani, Annalena Baerbock, waliwaambia waandishi wa habari kwamba nchi zao pamoja na Umoja wa Ulaya kwa ujumla wanaunga mkono serikali ya kipindi cha mpito…