TAA YATOA MKONO WA EID KITUO CHA KULELEA WATOTO CHA ZILI
Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania imewakutanisha pamoja Wadau , Wafanyakazi wake na Watoto yatima katika hafla ya Iftar iliyofanyika katika Jengo la 3 la abiria Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere. Katika Iftar hiyo Mkurugenzi Mkuu wa TAA Bw, Adbul Mombokaleo na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Viwanja vya ndege…