Yanga yatibua dili la Fei Simba

TANGU atambulishwe na Azam FC Juni 8, 2023,  baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu, nyota Feisal Salum almaarufu Feitoto, amekuwa akihusishwa na klabu mbalimbali ndani na nje ya nchi. Lakini klabu ambayo amekuwa akihusishwa nayo zaidi ni Simba, huku wengi wakiamini inaweza kutokea kama ilivyotokea kwa John Bocco na wenzake mwaka 2017. Hata hivyo,…

Read More

Kuongezeka kwa wazee – maswala ya ulimwengu

Chanzo: Umoja wa Mataifa. Maoni na Joseph Chamie (Portland, USA) Jumanne, Machi 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PORTLAND, USA, Mar 25 (IPS) – karne ya 20 ilileta kuongezeka kwa wazee. Wakati wa karne ya 21, wazee kwa sababu ya kuongezeka kwa idadi yao na idadi kubwa ya idadi ya watu itazidi kuathiri sera,…

Read More

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA DRC AWASILI NCHINI

Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mhe. Antonie Tshisekedi ambaye pia ni  Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mhe. Therese Kayikwamba Wagner amewasili nchini. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam Mhe. Wagner amelakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Read More