
Wenje ataja kiini mtifuano Mbowe, Lissu Chadema
Mwanza. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema wapambe wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na wa makamu wake (Bara,) Tundu Lissu ndiyo chanzo cha mtifuano ndani ya chama hicho. Wenje amesema hayo leo Ijumaa Januari 3, 2025 alipozungumza na waandishi wa habari, viongozi na wanachama wa Chadema jijini Mwanza baada ya…