Chadema yawaita Dar watia nia ubunge, udiwani

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa Chadema wakiendelea kuinadi kampeni ya ‘No Reforms No Election’ katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, chama hicho kimewaita walioomba (watia nia) wa nafasi mbalimbali kwenye kikao maalumu cha kujadili hali ya kisiasa. Kikao hicho kitakachofanyika Aprili 3, 2025 katika ofisi za makao Makuu ya Chadema, jijini Dar es…

Read More

Majaliwa ataka jamii za kifugaji kutotumikisha watoto

Mwanga. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezitaka jamii za kifugaji kuhakikisha zinawapeleka watoto shule na kuacha tabia ya kuwatumikisha kuchunga mifugo. Amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu nchini ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu bora. Majaliwa ameyasema hayo leo Jumanne Machi 25, 2025 wakati akizungumza…

Read More

Kamati ya Bunge yataka ubunifu unufaishe wananchi

Arusha. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kutangaza na kusambaza ubunifu wake wa kiteknolojia ili ufanikishe malengo ya kuleta manufaa kwa jamii ya Watanzania na Bara la Afrika kwa ujumla. Licha ya NM-AIST kuwa na uwezo mkubwa katika kukuza…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, Matinyi apelekwa Sweden

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa nafasi mbalimbali pamoja na kupangia vituo vya kazi mabalozi ambapo Balozi Mobhare Matinyi amepangiwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Mobhare aliwahi kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo Desemba 8,  2024 aliteuliwa kuwa balozi lakini hakupangiwa kituo cha kazi. Kwa mujibu wa…

Read More

Mtifuano mabasi ya Ngorika, Jaji ashusha rungu

Moshi. Kwa waliokuwa wakisafiri kwa mabasi ya Ngorika kutoka Moshi hadi Dar es Salaam miaka ya 90, wanaweza kuwa na swali, ni wapi mabasi hayo yapo? Jibu ni kuwa, kulikuwa na mtifuano wa wanafamilia mahakamani. Miaka ya 1990 hadi 2000 mabasi ya Ngorika yalitoa ushindani kibiashara katika njia hiyo lakini yalipotea barabarani. Jaji Safina Simfukwe…

Read More

Wataja vinavyokwamisha vijana kujitosa kwenye uongozi

Dar es Salaam. Katika hali ambayo ushiriki wa vijana na wanawake katika uongozi bado uko chini, wadau wa usawa wa kijinsia wamewahimiza makundi hayo kujitokeza na kushiriki kikamilifu katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Ili kufanikisha hilo, vijana na wanawake wanahimizwa kujiamini, kuondoa hofu na woga na kushiriki…

Read More