Wenje ataja kiini mtifuano Mbowe, Lissu Chadema

Mwanza. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema wapambe wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na wa makamu wake (Bara,) Tundu Lissu ndiyo chanzo cha mtifuano ndani ya chama hicho. Wenje amesema hayo leo Ijumaa Januari 3, 2025 alipozungumza na waandishi wa habari, viongozi na wanachama wa Chadema jijini Mwanza baada ya…

Read More

Mawasiliano Same bado baada ya daraja kukatika

Same. Mawasiliano ya barabara kuu ya Same-Mkomazi, wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro yameendelea kukwama kwa siku ya pili, mamlaka husika zikiendelea kutafuta ufumbuzi. Mkwamo wa mawasiliano unatokana na Daraja la Mpirani kukatika jana Januari 2, 2025 saa mbili asubuhi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Daraja hilo ndilo kiungo cha kata na makazi ya wananchi wanaoishi…

Read More

Kibarua kocha mpya Singida BS kipo hapa

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud amekiri kibarua alichonacho baada ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa timu hiyo sio rahisi, licha ya kufurahia kukutana na wachezaji wenye ubora na uwezo mkubwa ambao anaendelea kuwasoma kabla ya kuanza mambo katika Ligi Kuu baadae Machi, mwaka huu. Licha ya kuwa na uzoefu  na mafanikio katika soka…

Read More

Ditram Nchimbi apewa miezi sita Mbeya City

MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa Majimaji, Yanga, Polisi Tanzania na Taifa Stars, Ditram Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship kwa mkataba wa miezi sita hadi mwisho wa msimu huu. Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza baada ya kuikacha Biashara United kutokana na timu hiyo kukabiliwa na ukata. Mbeya Kwanza katika Championship msimu huu…

Read More

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu watakiwa kuendelea kudumisha amani,

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuidumisha amani, utulivu na mshikamano uliopo nchini ili kuweza kuisaidia serikali kuweza kupiga hatua kimaendeleo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid RIDHAA uliopo MADUNGU WILAYA YA CHAKE CHAKE mara baada ya kumaliza…

Read More

Makonga, Kelvin waipa nguvu Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo ya jijini Mbeya iko katika mwelekeo mzuri, hasa baada ya kuwanasa aliyekuwa kipa wa Biashara United, Diey Makonga na mshambuliaji Mtanzania, Kelvin George aliyetokea AS du Port ya Djibouti. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayanga alisema licha ya kikosi hicho kushika nafasi ya pili na pointi…

Read More

Kigi Makasi achimba mkwara Championship

KIGI Makasi, nyota wa zamani wa Simba, Yanga na Mtibwa Sugar aliyetua Stand United ‘Chama la Wana’ amesema wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo wamekula kiapo cha kushinda mechi za nyumbani, huku akiichimba mkwara Geita Gold watakayoivaa katika mchezo wa kufungia duru la kwanza la Ligi ya Championship. Makasi alijiunga na Chama la…

Read More

Mwaka mpya, mikakati mipya kudhibiti kisukari

Katika kuadhimisha mwaka mpya, tunapata nafasi ya kutafakari na kufanya mabadiliko chanya katika maisha yetu. Wengi hutumia kipindi hiki kupanga malengo na mikakati mipya na ni muhimu kukumbuka kuwa miongoni mwa mikakati hiyo ni kudhibiti viwango vya sukari. Ulaji wa sukari kupita kiasi ni moja ya changamoto kubwa za kiafya zinazoongezeka duniani na kuleta madhara…

Read More