Chadema yamjibu Msajili sakata la Mchome

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amemjibu ‘kiaina’ Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, akisema kikao cha Baraza Kuu la Chadema kilichoketi Januari 22, 2025, kilifuata utaratibu kwa mujibu wa Katiba ya Chadema. Utaratibu alioutaja Mnyika ni uliotajwa katika katiba ya chama hicho, Ibara ya 6.2;2 (a), inayotaja kuwa akidi…

Read More

Kuimarisha watu asilia na maarifa ya jamii na ufikiaji hufungua fursa za hali ya hewa, bianuwai na hatua ya jangwa

Michael Stanley-Jones Maoni na Michael Stanley-Jones (Richmond Hill, Ontario, Canada) Jumanne, Machi 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari RICHMOND HILL, Ontario, Canada, Mar 25 (IPS) – Jukumu kuu la watu asilia na jamii za mitaa katika kushughulikia mabadiliko ya hali ya hewa, upotezaji wa biolojia na jangwa umepata kutambuliwa katika muongo mmoja uliopita. Utegemezi…

Read More

Wasira aonya wanaotaka ubunge kwa rushwa CCM

Ngara. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) -Bara, Stephen Wasira, amesema ana taarifa za baadhi ya wanachama wanaotaka ubunge kuanza kuvunja maadili katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Hivyo, amewakumbusha wanaotaka ubunge na wabunge waliopo madarakani kuzingatia maadili, huku akitoa rai kwa wajumbe wa CCM, ambao watapiga kura kuchagua mgombea mmoja kati ya…

Read More

MADIWANI WA ARUSHA WAKATAA KUGAWA JIMBO LA ARUSHA MJINI

Na Pamela Mollel,Arusha MADIWANI wa Halmashauri ya jiji la Arusha wakubaliana kwa pamoja kutogawa jimbo la Arusha mjini mara mbili, badala yake wamekubaliana kugawanywa kwa kata nane za jiji hilo. Taarifaa hizi zinakuja wakati mwafaka kuelekea uchaguzi mkuu ambapo hivi karibu zimekuwepo kwa taarifa zisizorasmi zikidai jimbo hili kugawanywa mara mbili kutoka na ukubwa wake…

Read More