TUZO YA KINARA WA MAJI AFRIKA NI MATOKEO YA USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI MZURI WA IBARA YA 100 YA ILANI YA CCM YA UCHAGUZI MKUU 2020-2025.
Na Kalamu huru ya Leah D. Mbeke Kutoka: Makao Makuu Dodoma Kila mmoja wetu amehabarika kupitia vyombo vya habari kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo ya Kinara wa Maji Afrika (The Pan-African Water, Sanitation and Hygiene Champion Award) kutoka Taasisi ya WaterAid UK iliyoko nchini Uingereza…