Wauza pombe kali watano wafikishwa mahakamani

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Kagera imewafikisha mahakamani wafanyabiashara watano wauzaji na wazalishaji vinywaji vikali wilayani Karagwe. Watano hao wamefunguliwa kesi mbili zenye mashtaka tisa yanayohusisha kuendesha viwanda bandia bila Leseni ambavyo vinatumika kuzalisha bidhaa hizo na kuuza bila kuwa stika zilidhibitishwa na TRA. Washtakiwa hao wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba,…

Read More

Kada CCM adaiwa kupotea, Polisi waanza uchunguzi

Mwanza. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chonchorio anadaiwa kupotea tangu Machi 23, 2025 baada ya kutoka nyumbani akidai anakwenda kufanya mazoezi. Akizungumza na Mwananchi Jumatatu Machi 24, 2025 nyumbani kwa kada huyo mtaa wa Temeke wilayani Nyamagana, dada yake, Monari Nyanswi amesema kaka yake hakurudi tangu siku hiyo alipotoka nyumbani…

Read More

Wauza pombe kali watano wafikisha mahakamani

Bukoba. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa Kagera imewafikisha mahakamani wafanyabiashara watano wauzaji na wazalishaji vinywaji vikali wilayani Karagwe. Watano hao wamefunguliwa kesi mbili zenye mashtaka tisa yanayohusisha kuendesha viwanda bandia bila Leseni ambavyo vinatumika kuzalisha bidhaa hizo na kuuza bila kuwa stika zilidhibitishwa na TRA. Washtakiwa hao wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba,…

Read More

WAFANYAKAZI WASHAURIWA KUWEKEZA KABLA YA KUSTAAFU

Na. Josephine Majura, WF, Mwanza Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi wameshauriwa kujifunza kuhusu uwekezaji mapema ili kuhakikisha kuwa baada ya kustaafu wanaendelea kuishi maisha mazuri, kama walivyokuwa kazini. Ushauri huo umetolewa na Afisa Masoko Mwandamizi, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT – AMIS, Bw. Rahim Mwanga, wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa kwa…

Read More

ELIMU MASHULENI- NBAA YAWAFIKIA ECKERNFORD

  Wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi  wanaosoma masomo ya biashara katika Shule ya Sekondari ya Eckernford mkoani Tanga. Mkuu wa shule ya Sekondari ya Eckernford akiwatambulisha na kuwakaribisha wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika…

Read More

Ndege yakatisha safari kisa rubani kusahau pasipoti

Abiria 257 wa Shirika la Ndege la United Airlines walikumbwa na mshangao baada ya ndege yao kurejea ghafla Marekani, ikiwa safarini kuelekea Shanghai, China kisa mmoja wa marubani alikuwa amesahau pasipoti. Ndege hiyo aina ya Boeing 787, iliyokuwa ikitekeleza safari ya UA 198, iliondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles (LAX) mnamo Jumamosi,…

Read More