Kitongoji cha ajabu, hakina huduma hata moja ya kijamii

Dar/Morogoro. Zikiwa zimesalia siku 11 shule kufunguliwa, zaidi ya watoto 90 wa Kitongoji cha Mbuyuni hawataanza darasa la kwanza kutokana na kukosekana kwa shule ya msingi katika eneo hilo. Siyo hao pekee, bali inaelezwa watoto wa umri wa kuwepo shuleni na watu wazima wengi wao hawajafanikiwa kusoma kutokana na wakazi wa eneo hilo kushindwa kuwaandikisha…

Read More

5G yamliza Sultan, asaka beki fasta

BAADA ya kupata aibu ya kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba Queens, kocha mpya wa Alliance Girls, Sultan Juma ameitupia lawama safu ya ulinzi ya timu hiyo na fasta kuamua kutafuta beki wa kati kwenye dirisha dogo ili kuokoa jahazi katika mechi zijazo za Ligi Kuu ya Wanawake (WPL). Kabla ya mchezo huo, kocha…

Read More

Wasira asimulia jinsi Werema alivyochangia upatikanaji wa rasimu ya Katiba

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Steven Wasira  amezungumzia mchango wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali  mstaafu, Jaji Frederick Werema katika rasimu ya Katiba iliyopendekezwa mwaka 2014. Wasira ameyasema hayo leo Jumatano Januari 1, 2025 alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Werema aliyefariki dunia Desemba 30, 2024 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Wasira amesema…

Read More

KO ya Mama imefichua ukweli

NGUMI za kulipwa ndio mchezo ulioifuatia soka kwa ubora mwaka 2024, na wadau wa michezo  wanahofu michezo mingine kuendelea kudorora wakati soka ikidaiwa itazidi kuongoza kwa kutoa ajira 2025. Knockout ya Mama ndiyo michuano ya funga mwaka kwa mchezo wa ngumi za kulipwa na pia ni ushuhuda kwamba ndondi ni mchezo wa pili kupendwa nchini …

Read More

Mikoa minne kuanza uboreshaji daftari la mpigakura

Songea. Baada ya kuanza katika Mikoa mbalimbali ikiwemo Kigoma, hatimaye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura umefika wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku wananchi wakionywa kuhusu kujiandikisha zaidi ya mara moja. Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INCE), kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la jinai na adhabu yake ni faini,…

Read More

Basigi: Mwendo ni huu hadi ubingwa

BAADA ya kuhitimisha duru la kwanza Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) ikiwa kileleni bila kupoteza mchezo, kocha mkuu wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema hawatabweteka na matokeo hayo kwani anakwenda kuwaongezea dozi vijana wake ili kuendeleza vipigo duru la pili ili kutetea ubingwa wa ligi hiyo. Simba inaongoza ligi hiyo baada ya klucheza mechi tisa…

Read More

Huyo Pacome gari limewaka | Mwanaspoti

KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua gari limewaka, amerudi kwenye ubora wake akifunga na kufanya balaa, huku akifunguka kuwa kwa namna walivyo fiti habari ya mtu kupigwa nyingi ni kikombe ambacho kila timu inaweza kukipitia. Pacome ambaye ni kama hakuanza msimu vizuri, hivi karibuni ameonekana kurejea katika fomu aliyokuwa nayo msimu uliopita kwa kutoa asisti na…

Read More