TUNATAKA KUWAUNGANISHA WATANZANIA KATIKA MAOMBI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU,TUPATE VIONGOZI WENYE HEKIMA NA BUSARA-MSAMA
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Kamati ya maandalizi ya tamasha la Kuombea uchaguzi Mkuu maalum linalotarajia kufanyika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar es Salaam yanaendelea. Mkurugenzi wa Msama Promotion inayoandaa tamasha hilo , Alex Msama, amesema maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vizuri,na kuwa tamasha hilo litakuwa ni sehemu ya maandalizi ya kiroho…