Maajabu mwamuzi wa Yanga, TP Mazembe

YANGA inaingia kambini leo kuendelea na maandalizi kabla ya kukutana na TP Mazembe, Jumamosi Januari 4, lakini tayari imepewa mwamuzi wa bahati atakayeamua mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Idara ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imewakabidhi waamuzi watatu kutoka Mauritius kusimamia sheria 17 kwenye mchezo huo wakiongozwa na…

Read More

Kocha KenGold amshtukia Morisson, Yondani naye ndani

Wakati staa wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison akitua KenGold, benchi la ufundi la timu hiyo limeandaa programu maalumu kwa nyota huyo raia wa Ghana. Pia limesema kabla ya kumsainisha tayari walishazungumza naye kumpa masharti ya timu hiyo na matarajio yao ni kuona anawapa kitu cha maana ndani ya uwanja. Morrison asiyeishiwa vituko…

Read More

Safari ya Tunisia, Ngoma atoa ujanja mapema

WAKATI kikosi cha Simba kikielekea Tunisia alfajiri ya leo kuifuata CS Sfaxien, kiungo wa timu hiyo ambaye pia ni nahodha msaidizi, Fabrice Ngoma ametuma ujumbe, huku akitoa ujanja wanaopaswa kuutumia ili kufanya kitu tofauti. Hiyo ni kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kundi A utakaochezwa Jumapili, wiki hii, Tunisia ambapo Simba inahitaji ushindi au…

Read More

“Wanawake wajasiriamali wapewa mafunzo maalum,Aweso atoa Mil 10 kuwawezesha”

Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso amechangia kiasi Cha shilingi Mil.10 kwa wajasiriamali wadogowadogo 600 waliopatiwa mafunzo maalum yanayoratibiwa na Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Tanga Mhe.Husna Sekiboko. Akizungumza mara baada ya kuchangia Mil.10 Mhe.Aweso amesema kuwa hawezi kuwasahau waliomtoa. “Dada Husna umenikumbusha 2015 Wakati nimemamliza masomo yangu ya chuo na kusema Marekani yangu ni…

Read More

UNHCR inapendekeza uungwaji mkono zaidi kwa watu wanaokimbia ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji – Global Issues

Vurugu hizo zinakuja baada ya mahakama ya juu nchini Msumbiji kuthibitisha tarehe 23 Disemba kwamba chama tawala cha Frelimo kilishinda uchaguzi wa urais ambao ulikuwa na mzozo uliofanyika mwezi Oktoba, na hivyo kuzua maandamano. Nchi ya kusini mwa Afrika pia bado anaendelea kupata nafuu kutokana na madhara ya Kimbunga Chidoambayo ilisikika wiki chache zilizopita. Hali…

Read More