Sura mbili Mdee, wenzake kusamehewa Chadema

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumsamehe kada wake wa zamani, Dk Wilbrod Slaa na kupokewa tena kwenye chama hicho, wadau wa siasa nchini wamekishauri kuwasamehe pia wabunge wake wa viti maalumu (Uviko-19) ili kukiimarisha chama. Wadau hao wamesema falsafa za 4R za Rais Samia Suluhu Hassan hasa…

Read More

Mkuu wa UNRWA – Maswala ya Ulimwenguni

Bwana Lazzarini alitoa maoni hayo katika media ya kijamii postambayo alibaini kuwa kuzingirwa, ambayo inazuia chakula, dawa, maji na mafuta kuingia katika eneo la Palestina, imedumu kwa muda mrefu kuliko vizuizi vilivyowekwa wakati wa awamu ya kwanza ya vita. Unrwa Mkuu alisema kwamba watu huko Gaza hutegemea uagizaji kupitia Israeli kwa maisha yao. “Kila siku…

Read More

Chanzo watendaji SMZ kutoelewana ofisini chatajwa

Unguja. Licha ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi kukemea viongozi wa umma kugombana ofisi, bado changamoto hiyo imeendelea kuibuka na kukwamisha kazi za umma. Akizungumza katika kongamano la pili la kiimani kwa viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) lililofanyika ukumbi wa Idrissa Abdulwakil Kikwajuni, Zanzibar…

Read More

Siri mauzo ya korosho ya Tanzania kupaa masoko ya nje

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Huu ndio uwanja mpya wa Singida BS

KLABU ya Singida Black Stars leo, Jumatatu imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi uwanja wake wa nyumbani hapa Mtipa unaotajwa kuwa wa kisasa zaidi katika mkoa wa Singida. Uzinduzi huu umepambwa na mchezo wa kirafiki kati ya wenyeji, Singida Black Stars, na mabingwa wa kihistoria wa Tanzania, Yanga. HUU NDIO UWANJA MPYA WA SINGIDA BLACK…

Read More