
2025 waitakayo Watanzania | Mwananchi
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na baadhi ya wananchi kutoa salamu za mwaka mpya ambao wameeleza wanayoyataka 2025, ikiwamo Tanzania isiyo na ajali, inayozingatiaji wa haki na kurekebisha kasoro zilizojitokeza 2024. Kwa nyakati tofauti wakizungumza na Mwananchi, viongozi wa dini, siasa na wanataaluma wamezungumzia kuhusu kuboreshwa huduma za jamii, wakitaka uchaguzi mkuu…