Sababu mauzo ya korosho kupaa

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Bei ya kuku yachangamka, Idd el Fitri ikipiga hodi

Morogoro. Zikiwa zimebaki siku chache kufikia Sikukuu ya Idd, bei ya kuku wa kienyeji imeanza kupanda, huku wafanyabiashara wakidai kuwa upatikanaji wa kitoweo hicho ni mgumu kutokana na hali ya ukame. Akizungumza na Mwananchi leo, Jumatatu, Machi 24, 2025, mmoja wa wafanyabiashara katika Soko la Kingalu, Shukuru Khasim, amesema wiki mbili zilizopita bei ya kuku…

Read More

Fitinesi ya mastaa Tabora yamshtua Mzimbabwe

TABORA United imeshaanza maisha mapya na kocha wao mpya, Genesis Mangombe na jamaa ameshashtukia mambo fasta ndani ya kikosi chake. Mangombe ambaye ni raia wa Zimbabwe, ametua katika timu hiyo akichukua nafasi ya Mkongomani, Anicet Kiazayidi. Mangombe ameliambia Mwanaspoti kuwa, ameridhishwa na ubora wa wachezaji wake baada ya kuwaona kwenye vipindi vitatu tofauti vya mazoezi….

Read More

Serikali yaanza kampeni elimu kujikinga na ugonjwa wa Mpox

Rukwa/Dar.  Katika kuhakikisha Jamii inakua salama dhidi ya magonjwa ya mlipuko, Wizara ya Afya imeanza kutoa elimu katika maeneo mbalimbali ya umma na vyombo vya habari kupitia waganga wakuu wa mikoa na wataalamu wa afya. Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku 14 tangu Serikali ilipotangaza kuwa watu wawili wana maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa…

Read More

Kocha JKT Tanzania awaondolea mzigo Bocco, Songo

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema anatengeneza timu ambayo haitakuwa mzigo kwa baadhi ya wachezaji, badala yake anahitaji kila anayekuwa uwanjani ajue yupo kwa ajili ya kupambania pointi tatu. Alisema anatambua washambuliaji kama John Bocco mwenye mabao mawili na Edward Songo aliyefunga matatu hiyo ni kazi yao, lakini hataki kuwapa presha kutimiza majukumu yao…

Read More

Othman asisitiza amani, utulivu kwenye uchaguzi

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amewaomba Wazanzibari kuomba dua kwa ajili ya amani na utulivu wakati nchi inajiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao. Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, ametoa wito huo leo Jumatatu Machi 24, 2025  alipohitimisha ziara yake ya mikoa mitano ya Unguja…

Read More

Ndoa za rangi tofauti na changamoto ya ubaguzi

Wengi tumezoea kuwaona wanaume wa Kizungu wakiwafungulia milango wake zao wanapopanda au kushuka kwenye magari hata kuingia majumbani. Wengi hutafsiri kitendo hiki kama mapenzi ya Kizungu au mapenzi stahiki japo inaweza kuwa zaidi ya haya. Na wanaofanya hivyo si wote. Wapo Wazungu wenye tabia na matendo kama Waafrika ambao huwa hawawafungulii milango wake zao. Hata…

Read More

‘Haki za watoto wenye uhitaji zitambuliwe’

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kufanya kazi na wadau kuhakikisha haki za watoto wenye uhitaji maalumu zinatambuliwa na kuzingatiwa katika sera na mipango ya maendeleo. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Anna Athanas Paul ametoa kauli hiyo jana Jumapili Machi 23, 2025 wakati wa akizungumza katika…

Read More