Diarra akoleza moto, Ramovic achekelea

KIPA Diarra Djigui aliyekuwa nje ya uwanja kwa wiki kama mbili amerejea akianza kujifua, jambo lililompa furaha kocha wa Yanga, Sead Ramovic huku akijiandaa kukabiliana na TP Mazembe ya DR Congo wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga inayoburuza mkia katika Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi…

Read More

Gusa achia yaitisha TP Mazembe

MSAFARA wa TP Mazembe unatua leo nchini tayari  kukutana na Yanga katika mchezo ambao kila timu inataka kuweka hesabu sawa kufufua matumaini ya kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini Wakongomani hao kuna chabo wameipiga na kuwashtua. Baada ya kutambua ina ratiba ya kukutana na Yanga, mabosi wa Mazembe walituma mashushushu ili kupiga…

Read More

“Itachukua miaka kusaidia watu kukabiliana na matokeo yasiyoonekana ya vita" – Masuala ya Ulimwenguni

“Ninatiwa moyo kila wakati na nguvu na ujasiri wa watu wa Ukrain. Nikiwa nimesafiri hadi Kharkiv, Kherson, Mykolaiv, Sumy, Zaporizhzhia, na hivi majuzi zaidi hadi Kramatorsk na Lyman, nimejionea jinsi usumbufu wa huduma muhimu kama vile umeme, maji na joto unavyoathiri watu. Nimezungumza na watu ambao wapendwa wao waliuawa na ambao nyumba zao ziliharibiwa wakati…

Read More