BoT: Mikopo ya kobe, nyoka haina leseni

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kusambaa mitandaoni mahojiano ya mmoja wa wanawake akizungumzia uwepo wa mikopo aina ya kobe na nyoka, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wananchi kutokopo kwa kuwa haijakatiwa leseni. Taarifa ya BoT iliyotolewa jana inaeleza kuwa, kuna taarifa katika mitandao ya kijamii zinazohusisha alama za wanyama kama vile kobe…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

Dar/mikoani. Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita. Kwa mujibu wa viongozi hao wa dini, wananchi hawapaswi kuuanza mwaka 2025 kwa kukumbuka changamoto, mabaya na madhila yaliyowatokea mwaka jana, wanapaswa kuganga yajayo kwa kuruhusu faraja ya mwaka mpya….

Read More

Othman atangaza nia kugombea urais Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ametangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi mkuu ujao endapo chama chake kitaridhia na kumpa jukumu hilo ili awasaidie Wazanzibari. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amebainisha hayo leo Januari mosi, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi…

Read More

Moto wateketeza mali za wapangaji, Sh3.4 milioni

Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba vitatu vya wapangaji katika Mtaa wa Wailesi, Kata ya Soweto, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wakati wakijiandaa kupika chakula cha mchana kusherehekea sikukuu ya mwaka mpya 2025. Vyumba hivyo vitatu vimeteketea kwa moto leo , Januari Mosi, 2025  ambapo kaya tatu kwa sasa hazina mahali pa kuishi…

Read More

Rita: Ndoa ya aina hii haitambuliki kisheria

Dar es Salaam. Licha ya kufunga ndoa ya dini miaka 10 iliyopita, Jane Elias alijikuta katika sintofahamu baada ya kuambiwa ndoa yake haitambuliki kisheria. Jane ni miongoni mwa wanandoa wengi wanaofunga ndoa katika nyumba za ibada, lakini wengi wao wanapofika kwenye sheria, hujikuta ndoa zao hazitambuliki kutokana na sababu mbalimbali. Jane anasema alifunga ndoa ya…

Read More

Ripoti maelezo ya hali mbaya ya haki za binadamu nchini Ukraine karibu miaka mitatu baada ya uvamizi wa Urusi – Masuala ya Ulimwenguni

Ikijumuisha kipindi cha Septemba hadi Novemba 2024, ripoti hiyo inaeleza mashambulizi makali ya Urusi kwenye maeneo yenye watu wengi, mgomo wa kimakusudi wa miundombinu ya nishati, na jitihada za kuzuia haki za kimsingi. “Nyuma ya kila ukweli na takwimu katika ripoti hii ni hadithi za hasara na mateso ya binadamu, kuonyesha athari mbaya ya vita…

Read More

Ni kazi gani hautakubali kuifanya unapokuwa msomi?

Dar es Salaam. Ni kazi gani hauko tayari kuifanya ukiwa na elimu kuanzia ngazi ya shahada? Majibu ya swali hilo yanaakisi mitazamo ya vijana hasa wasomi, ambao aghalabu hukacha baadhi ya kazi kwa mtazamo kuwa hawastahili kuzifanya kutokana na kiwango chao cha elimu. Kutokana na mtazamo huo, wengi wanajikuta wakikaa bila kazi za kufanya kwa…

Read More