Dhana potofu inavyotesa wanawake kusomea ubaharia

Miaka mitano iliyopita, wanafunzi 14 pekee wa kike ndiyo walikuwa wakisoma kozi ya ubaharia kwenye chuo cha Bahari Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Tumaini Shaban Gurumo anasema, mtazamo hasi juu ya fani ya ubaharia ndiyo chimbuko la wanawake wengi  kuchelewa kuingia kwenye fani hiyo. “Ubaharia  ilidhaniwa ni kazi ambayo ni ya mtaani,…

Read More

Makatibu wa Kanda wailima barua Chadema, wadai mamilioni

Dar es Salaam. Waliokuwa makatibu  wa kanda tano za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekiandikia chama hicho barua kuomba malipo yao yanayotokana na utumishi wao kwa miaka 10. Makatibu hao ni Gwamaka Mbugi, Emmanuel Masonga, Kangeta Ismail, General Kaduma na Jerry Kerenge, waliokuwa watumishi wa chama hicho katika Kanda za Nyasa, Kati, Magharibi, Kusini…

Read More

Kocha African Sports ala kiapo

LICHA ya African Sports ‘Wanakimanumanu’ kuandamwa na ukata, kocha wa timu hiyo, Kessy Abdallah amesema siyo sababu ya yeye kushindwa kukibakisha kikosi hicho katika Ligi ya Championship msimu ujao, huku akiomba wadau kuwasapoti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Kessy alisema kwa wiki kadhaa sasa wamekuwa wakipitia hali hiyo ingawa jambo wanaloshukuru ni kwenda kwa wakati katika…

Read More

Offen Chikola kurudi kivingine | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Tabora United, Offen Chikola amesema mapumziko ya Ligi Kuu Bara kupisha mechi za Kalenda ya FIFA yamemsaidia kuondoa uchovu mwilini uliotokana na  kucheza mechi mfululizo. Chikola ambaye ana mabao saba na asisti mbili katika Ligi Kuu Bara msimu huu, alisema watakaporejea kuendelea na ligi tayari mwili wake upo fiti na ana hamu…

Read More

Wasomi waibua mpya Dk Slaa kurejea Chadema

Dar/Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitangaza kurejea kwa kada wake wa zamani, Dk Willibrod Slaa, wachambuzi wa siasa wameeleza kwamba msimamo na harakati za Dk Slaa zinaendana na uongozi wa sasa, hivyo watashirikiana kwa karibu kusukuma ajenda ya chama. Dk Slaa ametangazwa kurejea Chadema leo Jumapili, Machi 23, 2025, wakati wa uzinduzi…

Read More

Yanayosubiriwa uzinduzi uwanja wa Singida

LEO Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black Stars inazindua rasmi uwanja wake mpya. Uzinduzi huu ni hatua kubwa kwa klabu hiyo, ambayo imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya michezo ili kuinua kiwango cha soka nchini. Uwanja huo uliopo…

Read More