Takriban watu 9,000 hufariki wakijaribu kuhamia mataifa mengine
Dar es salaam. Karibu watu 9,000 wamepoteza maisha duniani kote katika njia za uhamiaji mwaka 2024. Vifo hivyo vinatajwa kuufanya mwaka 2024 kuwa mbaya zaidi kwa wahamiaji, Umoja wa Mataifa umesema mwishoni mwa juma huku ukiita ‘janga lisilokubalika na linalozuilika’. “Angalau watu 8,938 walifariki katika njia za uhamiaji duniani kote mwaka 2024. “Huu ni mwaka…