Mfumo wa ‘Force Acount’ waipa matokeo chanya IAA
Dar es Salaam. Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema imeridhishwa na ufanisi na ubora wa majengo yanayoendelea kujengwa ndani ya Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kupitia mapato ya ndani kwa kutumia wataalamu wa ndani yaani mfumo wa ‘Force Account’ Hayo yamebainishwa katika ziara ya kikazi ya kamati hiyo, baada ya…