
KONA YA MALOTO: Mbowe, Lissu wameitumbukiza Chadema vita ya pembe tano
Vita ya hatima ndicho kinaendelea Chadema. Siyo vita na hatima kama simulizi ya familia ya Ku, Asia Mashariki, kwenye tamthiliya ya War and Destiny, bali Chadema, hali ilivyofikia, kinachopambaniwa ni hatima. Uamuzi wa Makamu Mwenyekiti Chadema, Tanzania Bara, Tundu Lissu, kugombea uenyekiti dhidi ya mwenyekiti aliye ofisini kwa sasa, Freeman Mbowe, umetengeneza pembe mbili za…