BAWASA/MBUWASA NA KIBAYA WAPITISHA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026
Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira Mkoa wa Manyara, imepanga makadio ya matumizi ya mpango wa bajeti kwa mwaka 2025/2026 ya shilingi 28,224,455,064.00. Katika makadirio hayo matumizi ya uendeshaji ni shilingi 10,302,892,869.00 gharama za uwekezaji ni 507,329,245.00 na Serikali kuu shilingi 17,414,232,950.00 Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira…