BAWASA/MBUWASA NA KIBAYA WAPITISHA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2025/2026

Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira Mkoa wa Manyara, imepanga makadio ya matumizi ya mpango wa bajeti kwa mwaka 2025/2026 ya shilingi 28,224,455,064.00. Katika makadirio hayo matumizi ya uendeshaji ni shilingi 10,302,892,869.00 gharama za uwekezaji ni 507,329,245.00 na Serikali kuu shilingi 17,414,232,950.00 Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira…

Read More

Kilio uchache mabasi mwendokasi kukoma miezi mitatu ijayo

Dar es Salaam. Kiu ya wananchi kuhusu nyongeza ya mabasi yaendayo haraka katika Barabara ya Morogoro, inatarajiwa kukatwa miezi mitatu ijayo. Hiyo ni baada ya Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (Udart) kuweka wazi kuwa, baada ya miezi hiyo mabasi yote 100 yaliyoagizwa yatakuwa nchini tayari kutoa huduma. Taarifa hiyo inakuja katika kipindi ambacho, huduma za…

Read More

Faida ya wazazi kutenga muda kusikiliza watoto

Dar es Salaam. Je, wewe mzazi au mlezi katika ratiba yako ya siku nzima,  huwa unatenga muda kwa ajili ya kusikiliza yale anayotaka kukuambia au kukusimulia mtoto? Katika mzunguko wa siku nzima watoto hukutana na mambo mbalimbali ambayo wanaporudi nyumbani, hutamani kuwahadithia walezi ama wazazi wao wakati mwingine kwa lengo la kujua uzuri au ubaya…

Read More

WATAALAM WA UJENZI MKOA WA RUVUMA WAANZA KIKAO KAZI MBAMBABAY

    Albano Midelo na Netho Sichali,Mbambabay Wataalamu wa ujenzi kutoka Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma wameanza kikao kazi  cha kuwajengea uwezo  kuhusu usimamizi na ufuatiliaji katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha miradi yote  mwaka 2024/2025  inakamilika kabla ya Mei 30 mwaka huu. Kikao kazi hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa St.Vinsenti…

Read More

Sababu Mkuchika kutogombea tena ubunge Newala Mjini

Dar es Salaam. Mbunge wa Newala Mjini (CCM), George Mkuchika ameeleza sababu za kutogombea tena ubunge katika jimbo hilo kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 ikiwamo ya uzee. Mkuchika ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), aliwaeleza hayo wananchi jimboni kwake, jana, Machi 22, 2025. Kabla ya kuzungumza na wananchi hao,…

Read More

MKUU WA WILAYA YA SONGEA ALIA NA MIGOGORO WALIMU,AMTAKA MSAJILI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI KUTOSAJILI VYAMA VIWILI TAASISI MOJA

Na Muhidin Amri,Songea MKUU wa Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile,ametoa Ushauri kwa Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini, kutafakari upya kuhusu kuwepo kwa Chama zaidi ya kimoja cha wafanyakazi wa kada moja ili kuondoa migogoro na migongano inayochangia kushuka kwa nidhamu sehemu ya kazi.Ndile amesema hayo jana,wakati akizungumza na walimu kwenye Mkutano wa…

Read More

‘Maneno na matendo vina maana kubwa kwenye familia’

Mwenendo wa maisha ya wazazi unajumuisha maneno, matendo, tabia, mila, na desturi wanazozitumia kuendesha maisha yao ya kila siku. Mwanafalsafa Shadrack Gamaldhin kutoka Gambia aliwahi kusema: “Maneno yako ndiyo matendo yako, matendo yako ndiyo tabia yako, tabia yako ndiyo desturi yako na desturi yako ndiyo maisha yako.” Kauli hii inatoa msingi wa kuelewa jinsi malezi…

Read More