TANROADS MANYARA WAPITISHA BAJETI YAO

Na Mwandishi wetu, BabatiWAKALA wa barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Manyara, imeandaa mapendekezo ya mpango wa bajeti ya shilingi 11,529.313 kwa ajili ya kazi za matengenezo na shilingi 164,554.267 ya kazi za maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026.Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara, Dutu Masele ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha ushauri kamati…

Read More

Makocha wafichua kinachombeba Fei Toto kutua Simba

UNAKUMBUKA namna ambavyo Clatous Chama wakati anaichezea Simba alivyokuwa akihusishwa na Yanga kila kinapofika kipindi cha usajili kabla ya msimu huu dili hilo kuwa kweli? Basi ishu hiyo imehamia kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye ni msimu mmoja sasa unakatika tangu ameanza kuhusishwa na Wanamsimbazi. Kiungo huyo ametajwa kuwa na mambo manne yanayombeba zaidi huku…

Read More

ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA VIJANA-WASIRA

Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana wanakumbana nazo na kwamba Ilani ijayo ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030, itakuja na majibu ya shida zao. Wasira ameyasema hayo leo Machi 22, 2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kemondo Wilaya ya…

Read More

ASMA MWINYI AFTARISHA WATU WA SURA MFANANO

Na Madina Khatib, Zanzibar NAIBU Waziri ya maendeleo ya jinsia, wazee na watoto Zanzibar, Anna Athanas Paul, amesema taasisi ya Asma Mwinyi Foundation imekuwa na mchango mkubwa katika jamii hasa katika kuhakikisha kuwa haki za watoto na watu wenye ulemavu wakiwemo wenye sura mfanano zinaendelezwa na kuheshimiwa. Akizungumza katika hafla ya Iftar iliyoendana na maadhimisho…

Read More

Dk Nchimbi atuma salamu kwa wabadhilifu CCM

Dodoma. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ametuma ujumbe kwa wanachama wasio waadilifu ndani ya chama hicho, akisema wanaendelea kuwaandaa watu waadilifu kama Mwekahazina wa CCM, Dk Frank Hawassi. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo, Jumamosi Machi 22, 2023 kwenye ibada ya kumuaga mke wa Dk Hawassi, marehemu Damaris Hawassi, iliyofanyika katika…

Read More