Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleimani Jafo, amezitaka taasisi zote za serikali zinazohusika na ulinzi wa mlaji kufanya kazi kwa pamoja  ili kuhakikisha haki za watumiaji zinalindwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Siku ya Haki za Watumiaji Duniani, Dkt. Jafo amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya mamlaka mbalimbali za udhibiti…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Washirikiana na Hindsight Ventures Kuhamasisha Ubunifu wa FinTech na Biashara Changa Kupitia “Wazo Challenge”

• Mpango wa siku 60 wenye mkondo wa ubunifu na matukio ya kiteknolojia za kidigitali• Mada zinajumuisha uzoefu wa wateja, utambulisho wa kidijitali, na bidhaa za kidijitali• Biashara changa (startups) zilizochaguliwa zitapata fursa ya kujaribu suluhisho zao na Benki ya Absa Tanzania• Kila startup iliyochaguliwa itapata ufikiaji wa bidhaa za kiteknolojia zenye thamani ya USD…

Read More