TANZANIA NA JAPAN KUSHIRIKIANA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA

Na, Mwandishi Wetu – DODOMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Tanzania itashirikiana na Japan kukuza ujuzi kwa vijana ili kuwajengea uwezo wa kujiajiri na kuajirika. Mhe. Kikwete amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Utalii wa…

Read More

Mufti atoa neno upatu unavyoliza watu

Dar es Salaam. Suala la upatu na mikopo umiza limeendelea kuumiza vichwa vya Watanzania, safari hii Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir akisimuliwa ambavyo amewahi kuokoa watu walotaka kuangamizana kisa michezo hiyo. Mufti Zubeir ameeleza hayo wakati wa futari iliyoandaliwa na Benki kuu ya Tanzania (BoT) jana, akisisitiza kuwa suala la elimu na uadilifu katika…

Read More

Serikali itakavyoboresha upatikanaji wa chanjo za mifugo

Dar es Salaam. Neema ya uhakika wa upatikanaji wa chanjo yenye ubora kwa wafugaji inanukia, hii ni baada ya Serikali kupokea majokofu zaidi ya 60 yaliyotolewa na kampuni zinazozalishaji chanjo hizo. Majokofu hayo yatawezesha chanjo za mifugo kuhifadhiwa katika hali nzuri pindi Serikali itakapoanza rasmi mchakato wa usambazaji wa dawa hizo za kinga katika halmashauri…

Read More

Sh1.8 bilioni kujenga kiwanda cha kuchakata pamba Mwanza

Mwanza. Chama Kikuu cha Ushirika Nyanza (NCU 1984) kimeanza mchakato wa kujenga kiwanda cha kuchakata pamba kitakachogharimu zaidi ya Sh1.8 bilioni. Akizungumza leo Ijumaa Machi 21, 2025 wakati wa mkutano mkuu wa 33 wa chama hicho, Mwenyekiti wa Bodi ya NCU 1984, Leonard Jabalima amesema kiwanda hicho kitakuwa eneo la Manawa, Wilaya ya Misungwi mkoani…

Read More

Wajasiriamali wahimizwa kuchangamkia fursa soko huru Afrika

Arusha. Wizara ya Viwanda na Biashara imewataka vijana wajasiriamali katika sekta ya kilimo ikiwemo wasindikaji wa mazao mbalimbali kuchangamkia fursa katika soko huru la Afrika. Pia, wametakiwa kuhakikisha wanapozalisha mazao mbalimbali na kuchakata bidhaa, wazingatie sheria na kanuni ili kukidhi mahitaji ya soko ikiwemo usalama wa chakula. Hayo yamebainishwa leo Ijumaa Machi 21, 2025 na…

Read More

Sh3.5 bilioni kusaidia miradi ya mabadiliko ya tabianchi

Dar es Salaam. Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB Global) imetenga Euro 1.2 milioni (takribani Sh3.5 bilioni) kutoa msaada wa kiufundi kwa miji ya Afrika Mashariki, kwa maandalizi ya miradi ya miji endelevu inayostahimili mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na EIB Machi 20, 2025 maeneo yatakayonufaika ni Zanzibar nchini Tanzania, Kericho, Nyamira,…

Read More

Waeleza sababu za kuporomoka kwa ushairi Tanzania

Dar es Salaam. Wakati mataifa yakiadhimisha Siku ya Ushairi Duniani, wadau wa Kiswahili na ushairi nchini wameeleza vikwazo vinavyokwamisha ushairi nchini ikiwa ni pamoja na elimu duni na kudharau fasihi ya Kiswahili. Siku ya Ushairi Duniani huadhimishwa Machi 21 kila mwaka na siku hii ilianzishwa mwaka 1999 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu,…

Read More

Balile, Machumu wachukua fomu kutetea nafasi zao TEF

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile leo Ijumaa, Machi 21, 2025 amechukua fomu ya kutetea nafasi hiyo katika ofisi za jukwaa hilo jijini Dar es Salaam. Balile akisindikizwa na baadhi ya wanachama, amekabidhiwa fomu na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TEF, Anitha Mendioza. Mkutano mkuu wa uchaguzi unatarajia kufanyika…

Read More