TANZANIA NA JAPAN KUSHIRIKIANA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
Na, Mwandishi Wetu – DODOMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Tanzania itashirikiana na Japan kukuza ujuzi kwa vijana ili kuwajengea uwezo wa kujiajiri na kuajirika. Mhe. Kikwete amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Utalii wa…