Aucho, Dube mambo magumu, Diarra kicheko

Kuanzia Jumatano, Machi 19, 2025 hadi jana Alhamisi, nyota nane (8)  wanaocheza timu tofauti za Ligi Kuu Tanzania Bara wamekuwa wakizitumikia timu zao za taifa zinazoshiriki mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026. Katika mechi zao hizo baadhi zimepata matokeo mazuri, nyingine zimeondoka na pointi moja moja na kuna zilizoangusha pointi zote…

Read More

Lissu afunguka alivyokomaa Angola, asema mkutano ulienda vizuri

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefunguka namna alivyokomaa Angola hadi akahakikisha ameshiriki mkutano wa siku tatu ambao ulikumbwa sitofahamu baada ya wahudhuriaji kutoka nje kuzuiliwa uwanja wa ndege. Katika mazungumzo yake na Mwananchi Lissu alieleza sababu za yeye kuendelea kusalia nchini Angola, licha ya baadhi ya viongozi…

Read More

Aliyehukumiwa kifo kwa kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru Masenga Mwita, aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa mkewe, Joyce Julius. Masenga alihukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Julai 15, 2022, kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa ikimkabili. Katika kesi hiyo, Masenga alidaiwa kumuua mkewe Februari 9, 2019 katika Kijiji cha…

Read More

Fadhila na utukufu wa Lailat al-Qadr

Neno Lailat al-Qadr (Usiku wenye cheo) linajumuisha maneno mawili: (Lailah) likimaanisha kipindi cha usiku kutoka machweo ya jua mpaka alfajiri ya pili, na (Al-Qadr), lenye maana kadhaa, zikiwemo heshima, hadhi, na ukuu. Hivyo, Lailat al-Qadr ni usiku wenye heshima na taadhima kwa sababu ya kushushwa Qur’an ndani yake. Qur’an ilishuka kwa jumla hadi mbingu ya…

Read More

Tanzania Prisons hadi huruma Ligi Kuu

LIGI Kuu Bara ikiwa imesimama kwa muda kupisha kalenda ya FIFA, huku Yanga ikuiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na pointi 58 na mabao 58 ya kufungwa, ikifuatiwa na Simba, hali ni mbaya kwa Tanzania Prisons, kwani yenyewe ndio timu yenye safu butu ya ushambuliaji katika ligi hiyo. Maafande hao wanaoshikilia nafasi ya 15 katika msimamo…

Read More

Bosi wa usalama Israel afutwa kazi, Hamas watajwa

Tel Aviv. Baraza la Mawaziri la Israel limeidhinisha kufukuzwa kazi kwa Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (Shin Bet) huku maandamano yakiibuka upya kupinga uamuzi huo wa serikali. Ronen Bar ambaye ameiongoza Shin Bet tangu 2021, atatakiwa kukabidhi ofisi Aprili 10, 2025 ama kabla ikitegemea wakati gani mrithi wake atakapokuwa ameteuliwa. Al Jazeera imeripoti…

Read More

TTCL yapewa siku 30 kuboresha mawasiliano mipakani

Kyela. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi ametoa siku 30 kwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuboresha mifumo ya mtandao katika mpaka wa Kasumuru unaotenganisha Tanzania na nchi jirani ya Malawi. Hatua hiyo imekuja baada uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika mpaka huo, kulalamikia changamoto hiyo kwamba inaathiri…

Read More