Sababu Yanga kuitwa kambini fasta
WACHEZAJI wa Yanga wamerejea mazoezini baada ya kuwa na mapumziko ya takribani wiki moja tangu watoke kuichapa Coastal Union mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 32 bora michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), Machi 12 mwaka huu. Kabla ya kucheza na Coastal, Machi 8 mwaka huu Yanga ilitarajiwa kuikabili Simba katika mchezo wa Ligi…