
Lissu: Viongozi wa dini, mabalozi wawe watazamaji uchaguzi Chadema
Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadem-Bara, Tundu Lissu amependekeza viongozi wa dini na mabalozi wa nchi marafiki, waalikwe kuwa sehemu ya watazamaji wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Pendekezo hilo limetokana na kile alichofafanua, kwa sasa chama hicho kina idadi ndogo ya wazee wastaafu ambao kikatiba ndio wanaopaswa kupendekezwa na Kamati Kuu kuusimamia…