Wenye daladala, abiria waeleza adha ukaguzi wa trafiki

Dar es Salaam. Wakati ukaguzi unaofanywa na trafiki kwa magari ya daladala ukilalamikiwa na baadhi ya wamiliki wakidai wanakomolewa, Umoja wa Wamiliki wa Daladala Mkoa wa Dar es Salaam (Darcoboa) umesema huo ni ukaguzi wa kawaida dhidi ya magari mabovu. Ukaguzi huo ulioanza Jumatano, Machi 19, 2025, kwa kuangalia makosa mbalimbali kwenye magari hayo yanayofanya…

Read More

M23 wauteka mji mwingine DRC, Serikali yathibitisha

Goma. Kundi la waasi wa M23 limetangaza kuutwaa Mji wa Walikale nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuvifurusha vikosi vya Jeshi la Serikali ya nchi hiyo (FARDC). Taarifa ya M23 kuudhibiti Mji wa Walikale ambao ni wa kimkakati uliopo uelekeo wa Magharibi mwa DRC, imetolewa leo Alhamisi Machi 20, 2025, kupitia taarifa ya…

Read More

Joto la urais lazidi kupanda Tanzania

Dar es Salaam. Kumekucha. Joto la urais wa Tanzania na Zanzibar limeanza kupanda katika baadhi ya vyama vya siasa kwa baadhi ya makada kutangaza nia au kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa kuwania nafasi hiyo ya juu. Tayari baadhi ya waliotangaza nia ya kuutaka urais kupitia vyama vyao, wameshaweka wazi vipaumbele vyao endapo watapewa ridhaa…

Read More

Bombadier Q400 kuanza kutua kiwanja cha ndege Shinyanga

Shinyanga. Kukamilika kwa ujenzi wa kiwanja cha ndege Shinyanga Juni 10, 2025, kutawezesha ndege aina ya Bombadier Q400 kuanza kutua kwenye kiwanja hicho. Akizungumza leo Alhamisi Machi 20, 2025, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde amesema ujenzi wa kiwanja hicho umefikia asilimia 75. “Njia za kuruka na kutua ndege, maegesho na barabara…

Read More

Chadema Mbeya yaeleza Lissu, Heche watakavyoshambulia Nyasa

Mbeya. Wakati Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikitarajia kuzindua kampeni yake ya ‘No Reforms No Election’ kwa kufanya mikutano ya nchi nzima, jijini Mbeya, viongozi wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu na John Heche wamegawanywa mikoa tofauti ya Kanda ya Nyasa kuhakikisha wanawafikia wananchi na wafuasi wake. Lengo la kampeni hiyo ni kupeleka elimu…

Read More

Tarura yajenga madaraja 400 ya mawe nchini

Dar es Salaam. Ili kuboresha mtandao wa barabara za vijijini na mijini, Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) unatumia mbinu mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa madaraja ya mawe, ambapo gharama yake ni nafuu, ikiokoa hadi asilimia 80 ya gharama. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi, Machi 20, 2025, na Mhandisi Mshauri wa Tarura, Phares Ngeleja,…

Read More

WASIRA AJITOSA MGOGORO WA ARIDHI YA WAKULIMA MBARALI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Mbarali MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen ametoa maelekezo kwa Waziri wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Mkazi na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuweka utaratibu mzuri wa kugawa sehemu ya ardhi kwa wananchi wa Mbarali wayatumie kwa shughuli za kilimo. Miongoni mwa ardhi hiyo ni sehemu ya mashamba yaliyokuwa…

Read More