Rais wa Somalia anusurika kifo bomu la Al Shabab

Mogadishu. Kundi la Al Shabab nchini Somalia limekiri kuhusika kwenye shambulio la bomu lililomlenga Rais wa nchi hiyo, Hassan Sheikh Mohamud. Kwa mujibu wa Reuters tukio hilo limetokea Machi 18, 2025 ambapo wanamgambo hao walishambulia msafara wake wakati ulipokuwa ukienda uwanja wa ndege Mogadishu. Taarifa za maofisa waandamizi wa Serikali na jeshi wameiambia Reuters Mohamud…

Read More

JITOKEZENI KUJIANDIKISHA – DC MPOGOLO.

  MKUU wa wilaya ya Ilala,  mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo ameshiriki zoezi la kujiandikisha katika maboresho ya Daftari la kudumu la  mpiga kura Kata ya Ilala, mtaa wa Karume.   Mpogolo amefika Mtaa wa Karume,  majira ya  asubuhi na  kuungana na  foleni ya wananchi wa mtaa huo ili kuhakikisha anaboresha taarifa zake katika daftari…

Read More

Aliyembaka bibi wa miaka 68 jela miaka 30

Arusha. Tamaa mbaya, ndivyo unavyoweza kusema kilichomkuta mkazi wa eneo la Chemchem wilayani Kondoa Mkoa wa Dodoma, Rashid Kimolo, aliyembaka bibi mwenye umri wa miaka 68. Kama haitoshi baada ya kumaliza kumfanyia bibi huyo ukatili huo, inadaiwa alilala mtupu bila kuvaa nguo  kitandani kwa bibi huyo. Kwa mujibu wa maelezo, bibi huyo alitoka nje na…

Read More

Ahoua ataweza kuivunja rekodi ya Kagere?

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua anaongoza orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 12, huku timu hiyo ikisaliwa na mechi nane kufunga msimu na kuwa na kibarua kizito cha kuifikia rekodi iliyowahi kuwekwa na Meddie Kagere akiwa anaitumikia timu hiyo. Kagere aliandika rekodi ya kuwa nyota wa kigeni aliyefunga mabao…

Read More

Vita ya Ligi Kuu Bara kuhamia Ivory Coast Leo

Kenya, ikiwa na kiu ya pointi ili kurekebisha kampeni yao ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026, inakutana na Gambia kwa mara ya kwanza katika historia leo mjini Abidjan, Ivory Coast. Mechi hiyo ya kufuzu kwa Kundi “F” itachezwa leo kuanzia saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Stade Alassane Ouattara wenye uwezo wa kubeba…

Read More

TUTAKAMILISHA MIRADI YOTE – DC MPOGOLO

Katika kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inaleta tija kwa wananchi wilayani Ilala, Mkoani Dar es salaam, Mkuu wa wilaya hiyo Edward Mpogolo ameagiza viporo vyote vikamilike.  Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala, ametoa wito huo katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo kwenye sekta ya Afya, elimu na miundombinu ya…

Read More