Wahouthi warusha kombora la ‘Balistic’ nchini Israel, Trump aionya Iran
Jerusalem. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema limefanikiwa kuzuia kombora la ‘Balistic’ lililorushwa na waasi wa Kihouthi kutoka nchini Yemen. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Israel, shambulizi hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo Alhamisi Machi 20,2025, ni la mara ya kwanza katika kipindi cha miezi miwili tangu kufikiwa kwa makubaliano ya kusitishwa…