Mwanamke akutwa amefariki ‘gesti’, kitambaa usoni

Mwanza. Mwanamke mmoja ambaye bado hajafahamika, amekutwa amefariki dunia katika chumba cha nyumba ya wageni eneo la Usagara, Wilaya ya Misungwi jijini hapa. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa iliyotolewa jioni ya jana Jumatano  Machi 19, 2025  imeeleza kuwa  mwanamke huyo alikutwa amefariki dunia kwenye chumba namba tatu katika nyumba hiyo…

Read More

Upasuaji wa kutumia mawimbi ya sauti kwa mara ya kwanza wafanyika Benjamin Mkapa

Dodoma. Hospitali ya  Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini hapa  imefanya operesheni ya kwanza ya ubongo kwa kutumia teknolojia ya mawimbi ya sauti (High-intensity Focused Ultrasound -HIFU) na kufanikiwa kutoa damu  iliyokuwa imevilia kwenye ubongo wa mgonjwa. Akizungumza leo  Alhamisi Machi 20, 2025, Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu ambaye aliongoza jopo…

Read More

Russia, Ukraine zabadilishana wafungwa 372 wa kivita

Kyiv.  Ukraine na Russia zimefanya mabadilishano ya wafungwa wa kivita 372 kupitia mpango ulioratibiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Wizara ya Ulinzi ya Russia imethibitisha kuwaachilia wanajeshi 175 na wafungwa 22 wa Ukraine waliojeruhiwa vibaya na wanaohitaji msaada wa haraka wa matibabu kwenda kuungana na wapendwa wao nchini Ukraine. Shirika la Habari la…

Read More

WANANCHI WAOKOA MILIONI 25 ZILIZOTOLEWA NA TASAF

Na Mwandishi wetu -Dodoma Wakazi wa kijiji cha Mnenia kilichopo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma,wameokoa sh milioni 25 ya fedha zilizotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari ya Mnenia iliopo Wilayani Kondoa Mkoani Dodoma. Fedha hizo zimeokolewa,baada ya wakazi wa kijiji hiko,kushiriki ujenzi huo kwa kuongeza nguvu…

Read More