RAYVAN CHUI AZINDUA PROMOSHENI YA KULA SHAVU
STAR wa Muziki nchini Tanzania Rayvan maarufu Kama Chui amezindua promosheni mpya ya “Kula shavu” kupitia Kampuni ya mchezo wa Kubashiri ya Pigabet. Akizungumza na Wanahabari Leo Jijini Dar es Salaam Chui amesema Kampuni hiyo ya Ubashiri inawapa nafasi kwa watakaojisajili kwa mara ya Kwanza kwa kutumia Kodi ya “chuo” watapata Bashiri za bure zenye…