Baada ya ubingwa, Clara akitaka kiatu Saudia

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayewasha moto katika klabu ya Al Nassr, Clara Luvanga amesema mabao 15 aliyofunga yanampa hamasa ya kuwania kiatu cha dhahabu huku supastaa wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwapongeza baada ya kuchukua ubingwa. Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake Saudia juzi imechukua ubingwa kwa kuitandika Al Ahli mabao 3-1 bao moja likifungwa…

Read More

Mechi nane za kimkakati Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila amesema licha ya kukabiliwa na ratiba ngumu katika michezo minane iliyosalia kumaliza msimu huu, ila amejipanga kuhakikisha kikosi hicho kinamaliza nafasi nne za juu ili kupata nafasi ya kucheza ‘Play-Off’. Kauli ya Katwila inatokana na ratiba ngumu inayomkabili kwani katika michezo minane iliyobakia ni mitatu tu ya nyumbani, huku…

Read More

Neema Paul alivyovunja rekodi | Mwanaspoti

MIONGONI Mwa nyota wa kutazamwa kwenye kikosi cha Yanga Princess ni Neema Paul anayemudu kucheza winga zote mbili. Paul alijiunga na Yanga msimu uliopita 2023/24 akitokea Fountain Gate Princess 2022/23. Msimu wa kwanza akiwa na Yanga kwenye mechi 18, alifunga mabao manne na kumfanya amalize kinara wa ufungaji kwa Wananchi. Msimu huu kwenye mechi 12…

Read More

JUMUIYA YA WAZAZI :CCM TUNAKIU YA UCHAGUZI,

Na Seif Mangwangi, Arusha UMOJA wa Wazazi Tanzania wa Jumuiya ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umesema wanachama wa Jumuiya hiyo wanakiu ya uchaguzi na wako tayari kuingia kwenye uchaguzi wakati wowote licha ya kusikia kuna baadhi ya vyama vya siasa vinataka kugomea uchaguzi Mkuu ujao. Aidha Jumuiya hiyo imeandaa kongamano kubwa la kimataifa litakaloainisha mafanikio…

Read More

Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali – MICHUZI BLOG

– Wapewa maarifa ya uchimbaji, vifaa– Wajenga shule, maabara ya kisasa MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa kati na baadaye mkubwa….

Read More

VIONGOZI ACHENI KUWAKATISHA TAMAA WANAWAKE- DKT. TULIA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa upo umuhimu wa Viongozi waliopo madarakani kuacha kutoa hadithi za kusikitisha na kukatisha tamaa kwa wanawake na wasichana wanaopambania kesho yao iliyo nzuri kwenye Uongozi na badala yake kujiona wao ni sehemu…

Read More

‘Tutoe taarifa za vitendo vya ukatili’

Arusha. Ili kutokomeza vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto nchini, jamii imetakiwa kutoa taarifa za matukio hayo ili hatua za kisheria zichukuliwe. Hayo yamesemwa leo Jumapili Machi 16,2025 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis wakati akizungumza wilayani Arumeru katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji…

Read More