Baada ya ubingwa, Clara akitaka kiatu Saudia
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayewasha moto katika klabu ya Al Nassr, Clara Luvanga amesema mabao 15 aliyofunga yanampa hamasa ya kuwania kiatu cha dhahabu huku supastaa wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwapongeza baada ya kuchukua ubingwa. Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake Saudia juzi imechukua ubingwa kwa kuitandika Al Ahli mabao 3-1 bao moja likifungwa…