Cheza Kasino Ufukuzie Ubingwa wa Maisha yako

Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu Zaidi, kupitia sloti ya Mini Power Roulette inakuhakikishia ushindi wad au lako mara 20,50 hadi 100 cha kufanya ingia hapa kufukuzia ubingwa wako. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse…

Read More

MCHONGO WA MJINI NI BLACKJACK LIVE YA MERIDIANBET

Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa. Mchezo wa Blackjack Live Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack…

Read More

Yanga kumekucha CAS, Bodi ya Ligi yakomaa

SAKATA la kuahirishwa mechi ya Kariakoo Dabi, Yanga dhidi ya Simba limechukua sura mpya na tafsiri nyepesi ni kama mambo ya yamekucha rasmi kwani awali ilionekana kama masihara. Dabi hiyo katika Ligi Kuu Bara duru la pili, imeendelea kupigwa nje ya uwanja na sasa kuna mbio zinapigwa kwa hesabu za kisheria baada ya vinara wa…

Read More

Uhaba wa Fedha Hatari Kudhoofisha 'Wakati wa Maji' kwa Syria – Maswala ya Ulimwenguni

Katika ujumbe wa video kwa mkutano Kusimama na Syria: Kukidhi mahitaji ya mabadiliko ya mafanikioiliyoandaliwa na Jumuiya ya Ulaya huko Brussels, alisisitiza uzito wa hali hiyo. “Huu ni wakati wa maji” Alisema Mkuu wa UN, akisisitiza kwamba hatma ya Syria inategemea kuhakikisha upatikanaji wa chakula, makazi, huduma za afya na maisha endelevu. Zaidi ya theluthi…

Read More

Dosari za kisheria zawanusuru waliohukumiwa kunyongwa

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya adhabu ya  kunyongwa hadi kufa waliyokuwa wamehukumiwa wakazi watatu wa Bukoba mkoani Kagera, baada ya kubaini kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi hiyo. Badala yake Mahakama hiyo imeamuru kesi hiyo isikilizwe upya mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Mahakama imefikia uamuzi huo…

Read More

Sababu wanaume kuwa kinara wa mapishi hotelini

Mwanza. Yawezekana mara kadhaa umetembelea hoteli kubwa ndani na hata nje ya nchi na kukutana na wapishi wanaume. Je, ulishawahi kujiuliza kwa nini wapishi wakuu kwenye hoteli kubwa wengi wao ni wanaume? Hata kwenye makundi ya kijamii ya wanawake wanaofanya kazi ya kupika kwenye shughuli mbalimbali ni lazima utakuta wamo wanaume miongoni mwao. Tovuti maarufu…

Read More

Sowah, Yanga kumekucha, mambo yapo hivi

SINGIDA Black Stars inachekelea usajili wa kumshusha nchini mshambuliaji Jonathan Sowah, lakini wakubwa wamemuona ikiwemo Yanga na hesabu mpya ni kwamba imemuachia msala kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi kufanya uamuzi ili mabosi wa klabu wamalize kazi. Yanga imeshawishika na nguvu ya Sowah akiwa ameingia Tanzania kupitia usajili wa dirisha dogo ambapo amecheza mechi saba…

Read More