Mpanzu, Kibu wampa mzuka Fadlu

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids ameeleza mkakati wake wa kiufundi katika safu ya ushambuliaji akisisitiza umuhimu wa kubadilishana nafasi kwa wachezaji wa mbele ikiwemo Elie Mpanzu, Kibu Denis na Charles Jean Ahoua ili kuzalisha mashambulizi ya aina tofauti.  Kocha huyo raia wa Afrika Kusini ambaye anachanga karata zake kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa…

Read More

Che Malone atuliza presha Simba

BENCHI la ufundi la Simba linazidi kukuna kichwa juu ya jereha linalomsumbua beki wa kati, Fondoh Che Malone aliyepelekwa Morocco kwa ajili ya kufanyiwa matibabu kwa lengo la kuwahi mapema kabla ya timu kukabiliana na ratiba ngumu kuanzia mwezi ujao hadi Mei. Simba iliyopo nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na hatua…

Read More

Okwi akubali yaishe Uganda, Aucho kubeba mikoba

Baada ya kuitumikia timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ kwa zaidi ya miaka 15, nyota wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu hiyo. Okwi mwenye umri wa miaka 32 ambaye kwa sasa anaichezea Kiyovu SC ya Rwanda, ametangaza uamuzi huo wa kustaafu leo, Machi 18, 2025kupitia taarifa aliyoiweka katika kurasa…

Read More

Fidia kwa waliopisha mradi wa nyumba Chumbuni, mbioni

Unguja. Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC), limeanza mchakato wa ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotoa vipando (mazao) yao kwa ajili ya kupisha mradi wa nyumba za makazi Chumbuni Unguja. Akizungumza katika kikao cha uhakiki na maelekezo kwa wahusika Machi 18, 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Sultan Said Suleiman amewahakikishia wananchi hao kuwa hakuna atakayedhulumiwa…

Read More

TBS yabaini matumizi holela ya bidhaa za vilevi

Dodoma. Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limefanya tathimini ya vileo sokoni na kubaini changamoto kubwa ipo katika matumizi holela bidhaa. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dk Ashura Katunzi leo Machi 18,2025 alipokuwa akizungumzia mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita na mwelekeo wa shirika hilo. Amesema shirika hilo limechukua hatua…

Read More

RCC Kigoma yaridhia kugawanywa majimbo manne ya uchaguzi

Kigoma. Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kigoma (RCC) imeridhia kugawanya majimbo manne ya uchaguzi mkoani Kigoma ambayo ni Kigoma Mjini, Kasulu Vijijini, Uvinza na Kibondo. Maazimio hayo yalipitishwa na kikao maalumu kilichoketi Machi 17, 2025, ambapo yaliyowasilishwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa zikitaka. Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,…

Read More

Mchongo Ni Blackjack Live Ya Meridianbet – Global Publishers

Last updated Mar 18, 2025 Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo…

Read More

Mchango wa Tanzania kutafuta amani mashariki mwa DRC

Dar es Salaam. Tanzania itaendelea kuunga mkono jitihada za kikanda na kimataifa  zinazoendelea katika kutafuta amani ya kudumu katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Hayo yamesemwa jana Jumatatu, Machi 17, 2025 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thatib Kombo wakati akizungumza kuhusu mkutano…

Read More