Adam, Kagera upepo umegeuka | Mwanaspoti

LILE dili la mshambuliaji wa Azam FC, Adam Adam la kwenda kwa mkopo wa miezi sita Kagera Sugar limeyeyuka na sasa anatajwa yupo hatua ya mwisho kujiunga na chama lake la zamani la Tanzania Prisons. Mwanaspoti limepata taarifa za ndani kilichokwamisha Adam asijiunge na Kagera ambayo ilishakubaliwa na Azam, sababu ni viongozi wa timu hiyo…

Read More

Nashon kusalia Singida Black Stars

BAADA ya dili la kutua Yanga kukwama, kiungo mkabaji Kelvin Nashoni aliyekuwa akitajwa kutua Pamba Jiji sasa ataendelea kusalia Singida Black Stars, huku kiungo Amade Momade akitolewa kwa mkopo wa miezi sita kwenda Tanzania Prisons. Nashon alikuwa anahusishwa na Yanga pamoja na Pamba Jiji kwa mkopo, lakini mambo yameenda tofauti sasa anaendelea kubaki katika timu…

Read More

Yassin Mustafa aibukia Tabora United

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita tangu alipomaliza mkataba na Mtibwa Sugar, beki Yassin Mustapha amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora United. Mustapha ameenda Tabora kuziba pengo la aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Said Mbatty aliyeachwa na kukimbilia Fountain Gate katika dirisha dogo la usajili lililo wazi na litakalofungwa…

Read More

Madogo 120 wapigwa msasa JMK bagamoyo

MRATIBU wa michezo katika kituo cha JMK Youth Park, Bahati Mgunda amesema watoto 120 walishiriki  mafunzo ya mchezo wa kikapu kwenye Uwanja wa Shule ya Margery Wolf Kuhn iliyoko wilaya ya Bagamoyo. Kwa mujibu wa Mgunda, walioshiriki ni watoto wa umri chini ya miaka 16, 14, 12, 8 na 6  kutoka wilaya ya Bagamoyo. Alisema…

Read More

Kurasini Heat hesabu zipo robo

TIMU ya kikapu ya Kurasini Heat imeifumua Magnet kwa pointi 69-28 katika Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam, lakini nahodha wa timu hiyo, Dominic Zacharia amesema nguvu yao kwa sasa wameielekeza katika hatua ya robo fainali. Hayo aliyasema baada ya timu hiyo kushika nafasi ya tatu kwa pointi 25, huku takwimu zinaonyesha…

Read More

Evarist aongoza tena kwa kutupia

MCHEZAJI Davidson Evarist wa timu ya Christ the King, bado anaendelea kutesa kwa ufungaji katika Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam, baada ya kufunga pointi 342. Staa huyo anafuatiwa na Fahmi Hamad, kutoka timu ya Polisi aliyefunga pointi 252, huku Diocres Mugoba wa timu ya Premier Academy akishika nafasi ya tatu kwa…

Read More

SHINDA ZAIDI YA MAMILIONI NA MERIDIANBET LEO

  LEO hii ni siku yako ya kuondoka na kitita cha maana ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana kwenye mechi za leo. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza pale Uingereza leo hii mechi za FA CUP hatua ya 3 zitaendelea ambapo Sheffield United atamleta…

Read More