Timu 5 Ligi Kuu hazijawahi kupata ushindi ugenini Ligi Kuu Bara 2024/256
COASTAL Union na Kagera Sugar ni kati ya timu tano kati ya 16 zinazoshiriki Ligi Kuu Bara ambazo hazijapata ushindi ugenini msimu huu kwenye ligi hiyo. Wakati msimu huu mambo yakiwa hivyo kwao zikisalia mechi saba, msimu uliopita timu hizo zilikuwa kati ya nane zilizoshinda mechi nyingi ugenini, huku Tabora United ambayo unaweza kusema kwa…