Chikola, Makambo wanyatia rekodi Tabora United

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amebakiza bao moja ili kuandika rekodi ya mfungaji bora tangu ilipopanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2022-2023 kutokana na kiwango bora anachoonyesha. Chikola aliyejiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Geita Gold iliyoshuka daraja amefunga mabao saba katika Ligi Kuu Bara, ikiwa ni idadi sawa na aliyekuwa mfungaji bora…

Read More

‘No Reform, No Election’ yawapeleka Chadema kwa Msajili

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka wazi kuhusu kupokea wito wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi. Kwa mujibu wa taarifa ya Chadema, kikao na Jaji Mutungi kitafanyika kesho Jumanne, Machi 18, 2025 huku ajenda kuu ikiwa ni ‘No Reform, No Election.’ Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Jaji Mutungi amethibitisha bila…

Read More

Kimenya, Elfadhili warejeshwa Prisons | Mwanaspoti

WACHEZAJI wakongwe wa Tanzania Prisons waliokuwa wamepangiwa majukumu mengine nje ya timu, Jumanne Elfadhili na Salum Kimenya wamerejeshwa na wameshajiunga na wenzao kambini ili kuongeza nguvu katika vita ya kuepuka kushuka Ligi Kuu. Nyota hao sambamba na  Jeremiah Juma walidaiwa kuondolewa dirisha dogo kabla ya mambo kwenda mrama na kocha kuwataka, lakini ni Jeremiah aliyekuwa…

Read More

Ubunge unavyozusha tafrani Mbeya | Mwananchi

Mbeya. Kivumbi cha kusaka nafasi ya kuwania ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, kimeendelea kuchukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo, Patrick Mwalulenge kudai imefikia hatua baadhi ya makada wameanza kujiingiza kwenye ulozi kutafuta madaraka hayo. Mvutano huo umekolea zaidi na Halmashauri ya Jiji la Mbeya kupendekeza kugawanywa…

Read More

Askofu Shoo ataka mambo mawili uchaguzi mkuu

Moshi. Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya  Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo ameitaka Serikali kusimamia haki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuhakikisha kunakuwepo na uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa ili kuepusha  yaliyojitokeza katika chaguzi zilizopita kujirudia. Mbali na hilo amewataka pia wananchi, kutumia nafasi yao vizuri ya kushiriki…

Read More

Waliomuua mtuhumiwa wa wizi kunyongwa hadi kufa

Arusha. Haya ndiyo madhara ya kujichukulia sheria mikononi. Ndicho kilichowakuta wakazi wawili wa Musoma, ambao wamekwaa kisiki Mahakama ya Rufani iliyobariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mtu mmoja waliyemtuhumu kuiba mihogo. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni Kisika Omary na Juma Mweya ambao walimuua Shida Peter kwa kumkata na panga kichwani na kifuani kisha kuchoma…

Read More

Rais Samia awaweka kikaaangoni watendaji wa ardhi

Dar/Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa ardhi nchini kubadilika kwa sababu wananchi wanawalalamikia  kwa rushwa, kujilimbikizia viwanja na kugawa kiwanja kimoja kwa watu wawili. Mbali na hilo, amewataka watumishi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), kubadilika kwa kutokuwa mvinyo uleule kwenye chupa mpya. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu…

Read More