Baraza la Usalama lakutana kuhusu Syria, pamoja na taarifa za Gaza na Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Marissa Sargi Mtoto wa mwaka mmoja anachunguzwa utapiamlo na timu ya afya inayoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) nchini Syria. Jumatano, Januari 08, 2025 Habari za Umoja wa Mataifa Wakati vita huko Gaza vikiendelea huku makumi ya raia tayari wameripotiwa kuuawa na kujeruhiwa kufikia sasa mwaka huu –…

Read More

MZUMBE YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI, YAWATOA HOFU WANAFUNZI KUHUSU KUJISAJILI

NA FARIDA MANGUBE – MOROGORO Chuo Kikuu Mzumbe kimewatoa hofu wanafunzi ambao hawajafanya usajili chuoni hapo kwamba zoezi la usajili bado linaendelea mpaka January 10, 2025 na wapuuze taarifa zinazosambaa mtandaoni. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Willium Mwegoha, akizungumza na waandishi wa habari amekanusha taarifa zilizopo kwenye mitandao ya kijamii kwamba wanafunzi wanaotakiwa…

Read More

BARAZA LA WAFANYAKAZI PSPTB LAFUNGULIWA

  BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imefanya kikao cha Baraza la wafanyakazi leo ili kujadili mafanikio, changamoto na njia za kuweza kutatua changamoto zilizojitokeza wakati wa uundaji wa bajeti mwaka unaokuja wa 2025/2026. Akizungumza kwenye kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu Ununuzi na Ugavi Godfred Mbanyi amesema baraza ni chombo…

Read More

Vikosi vya SMZ vyaanzisha miradi kujiongezea mapato

Unguja. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Rahma Kassim Ali amesema ujenzi wa miradi unaofaywa na vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) utawezesha mapato kupatikana na kutatua mahitaji ya msingi bila kusubiri mgawanyo wa fedha za bajeti. Amesema fedha za bajeti zinasubiriwa na wengi na haziwezi kumaliza mipango ya vikosi hivyo, kwani…

Read More

MTOTO AMEPOTEA, ANATAFUTWA – MICHUZI BLOG

MTOTO REGNALDO SAMWELI MSUYA MIAKA( 16 ) ANATAFUTWA, INADAIWA ALIONDOKA NYUMBANI KWAO 15/12/2024 HADI SASA HAJULIKANI ALIPO.    NYUMBANI KWAO NI KINONDONI MTAA MWANANYAMALA KWA KOPA, DAR ES SALAAM. ANASOMA SHULE YA SECONDARY MAKUMBUSHO KIDATO CHA TATU.  KWA YOYOTE ATAKAYE MUONA TUNAOMBA ATOE TAARIFA KWANYE KITUO CHOCHOTE CHAPOLICE KILICHO KARIBU.TAARIFA NAMBA YA POLISI NI MWJ/RB/1893/2024AU…

Read More

Ahoua, Kibu walivyobeba matumaini ya Simba CAF

Kiungo wa Simba, Jean Charles Ahoua mpaka sasa ndiye mchezaji aliyehusika kwenye mabao mengi ndani ya Simba katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu Bara. Mchango huo wa mabao umeifanya Simba kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara na kujiweka pazuri kwenye kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Nyota huyo raia…

Read More

Alhamisi ya Kutafuta Kitoweo Imefika

Je unajua kuwa leo ndio siku nzuri ya wewe kuouna ukiwa na Meridinabte kwenye simu yako?. Mechi mbalimbali kuchezwa leo huku nafasi ya wewe kuondoka bingwa ikiwa mikononi mwako. Ligi kuu ya SAUDIA itaendelea leo hii ambapo AL Fateh atamenyana dhidi ya AL Wehda ambapo tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 3 pekee huku…

Read More