Haji Mnoga akipiga dakika 58 dhidi ya Man City

LICHA ya chama la beki Mtanzania, Haji Mnoga wa Salford City ya Uingereza kupokea kichapo cha mabao 8-0 dhidi ya Manchester City, nyota huyo alianza na kukipiga kwa dakika 58. Salford juzi ilikuwa kwenye Uwanja wa Etihad jijini Manchester kuvaana na Man City katika mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la FA. Beki huyo…

Read More

Haji Mnoga akipiga dakika 58

LICHA ya chama la beki Mtanzania, Haji Mnoga wa Salford City ya Uingereza kupokea kichapo cha mabao 8-0 dhidi ya Manchester City, nyota huyo alianza na kukipiga kwa dakika 58. Salford juzi ilikuwa kwenye Uwanja wa Etihad jijini Manchester kuvaana na Man City katika mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la FA. Beki huyo…

Read More

Simba, Yanga hazichekani | Mwanaspoti

LIGI Kuu Bara imesimama huku ikiwa zimeshachezwa jumla ya mechi 124 zilizokusanya mabao 265 yakiwamo 110 yaliyofungwa na nyota wa kigeni 47 na mengine 148 yaliyowekwa wavuni na wazawa 80 mbali na saba ya kujifunga, lakini vigogo Simba na Yanga wakiwa hawachekani kabisa katika msimamo. Ndio, licha ya Simba kuongoza msimamo wa ligi hiyo kwa…

Read More

Mnyama huyoooo! Robo fainali CAFCC

SIMBA Ubaya Ubwela. Wekundu hao wa Msimbazi wameandika historia nyingine kwa kufuzu robo fainali ya michuano ya CAF ikiwa ni mara ya sita katika misimu saba iliyoshiriki michuano hiyo tangu 2018-2019 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola. Matokeo hayo yameifanya Simba kufikisha pointi 10 na kujihakikishia kusonga…

Read More

Yanga yaiua Al Hilal, matumaini yabakia Kwa Mkapa

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kushinda bao 1-0, dhidi ya Al Hilal, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Cheikha Ould Boidiya huko Nouakchott, Mauritania. Katika mchezo huo wa hatua ya makundi mzunguko wa tano, Yanga ilipata bao…

Read More

Mnyama huyoooo! Robo fainali | Mwanaspoti

SIMBA Ubaya Ubwela. Wekundu hao wa Msimbazi usiku wa jana kiliandika historia nyingine kwa kufuzu robo fainali ya michuano ya CAF ikiwa ni mara ya sita katika misimu saba iliyoshiriki michuano hiyo tangu 2018-2019 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola. Matokeo ya jana yameifanya Simba kufikisha pointi…

Read More

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema:  “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi…

Read More