Vikosi vya SMZ vyaanzisha miradi kujiongezea mapato

Unguja. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Rahma Kassim Ali amesema ujenzi wa miradi unaofaywa na vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) utawezesha mapato kupatikana na kutatua mahitaji ya msingi bila kusubiri mgawanyo wa fedha za bajeti. Amesema fedha za bajeti zinasubiriwa na wengi na haziwezi kumaliza mipango ya vikosi hivyo, kwani…

Read More

MTOTO AMEPOTEA, ANATAFUTWA – MICHUZI BLOG

MTOTO REGNALDO SAMWELI MSUYA MIAKA( 16 ) ANATAFUTWA, INADAIWA ALIONDOKA NYUMBANI KWAO 15/12/2024 HADI SASA HAJULIKANI ALIPO.    NYUMBANI KWAO NI KINONDONI MTAA MWANANYAMALA KWA KOPA, DAR ES SALAAM. ANASOMA SHULE YA SECONDARY MAKUMBUSHO KIDATO CHA TATU.  KWA YOYOTE ATAKAYE MUONA TUNAOMBA ATOE TAARIFA KWANYE KITUO CHOCHOTE CHAPOLICE KILICHO KARIBU.TAARIFA NAMBA YA POLISI NI MWJ/RB/1893/2024AU…

Read More

Ahoua, Kibu walivyobeba matumaini ya Simba CAF

Kiungo wa Simba, Jean Charles Ahoua mpaka sasa ndiye mchezaji aliyehusika kwenye mabao mengi ndani ya Simba katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu Bara. Mchango huo wa mabao umeifanya Simba kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara na kujiweka pazuri kwenye kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Nyota huyo raia…

Read More

Alhamisi ya Kutafuta Kitoweo Imefika

Je unajua kuwa leo ndio siku nzuri ya wewe kuouna ukiwa na Meridinabte kwenye simu yako?. Mechi mbalimbali kuchezwa leo huku nafasi ya wewe kuondoka bingwa ikiwa mikononi mwako. Ligi kuu ya SAUDIA itaendelea leo hii ambapo AL Fateh atamenyana dhidi ya AL Wehda ambapo tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 3 pekee huku…

Read More

DAWA YA KULEVYA AINA YA HEROIN YAADIMIKA, WATUMIAJI WAHAHA

*DCEA yawaonya wafanyabiashara dawa za kulevya, yatoa ombi kwa wananchi Na Said Mwishehe,Michuzi TV MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imesema kuwa tathimini ya upatikanaji na usambazaji wa dawa za kulevya inaonesha kuwa, dawa aina ya heroin zimepungua sana hapa nchini. Akizumgumza na waandishi wa habari leo Januari 9,2025 jijini Dar es…

Read More

WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI WA MAREKANI

Tanzania itaendelea kutoa ushirikiano kwa Ubalozi wa Marekani nchini na kuahidi kumpatia ushirikiano wa karibu Balozi ajaye katika utekelezaji wa majukumu yake awapo Tanzania pamoja na kuangazia maeneo ya kuongeza wigo wa ushirikiano kwa manufaa ya nchi zote mbili. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud…

Read More