Kumbukumbu sita kubwa za Magufuli michezoni
Hayati Magufuli alifariki Machi 17, 2021 katika Hospitali ya Mzena, Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo, kifo kilichohitimisha miaka mitano ya utawala wake. Yapo ambayo wanamichezo wanayakumbuka kwa hayati Magufuli ambaye aliingia madarakani kwa mara ya kwanza Novemba 05, 2015 na leo hii inapotimia miaka minne mwili wake ukiwa ardhini, yanabakia katika historia. Ahadi…