
AKILI ZA KIJIWENI: Kilimanjaro Stars imetupa ukweli wa Simba na Yanga
KUNA wash’kaji hapa mtaani wamekuwa wakilalamika sana mara kwa mara pale timu ya taifa inapoitwa wakidai kunatakiwa kuwe na usawa kwa wachezaji kutoka klabu zote. Kwamba wanataka kuona suala la kuita wachezaji wengi kutoka timu za Simba na Yanga lisipewe kipaumbele na fursa sasa ianze kutolewa kwa wachezaji wengi kutoka timu nyingine. Wanadai hizo timu…