
Afrika na mkakati wa kujiondoa gizani
Dar es Salaam. Licha ya juhudi zinazofanywa na mataifa mbalimbali Afrika kuhakikisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi wake, zaidi ya nusu ya Waafrika bado hawajafikiwa na huduma hiyo. Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), katika watu wanaokadiriwa kufikia bilioni moja wanaoishi Afrika, takriban milioni 685 hawajafikiwa na huduma ya umeme. Hali hiyo ya…