Afrika na mkakati wa kujiondoa gizani

Dar es Salaam. Licha ya juhudi zinazofanywa na mataifa mbalimbali Afrika kuhakikisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi wake, zaidi ya nusu ya Waafrika bado hawajafikiwa na huduma hiyo. Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), katika watu wanaokadiriwa kufikia bilioni moja wanaoishi Afrika, takriban milioni 685 hawajafikiwa na huduma ya umeme. Hali hiyo ya…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA DHARURA NJE YA HOSPITALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU BINAFSI

NA WAF SERIKALI kupitia Wizara ya Afya itaendelea kutekeleza mkakati wake wa kuimarisha huduma za dharura nje ya hospitali kwa kushirikiana na wadau binafsi. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu alipotembelea moja ya wadau wa Sekta binafsi wanaotoa huduma za Dharura kampuni ya Emergency Medical Services inayofahamika kama E-Plus Tanzania,…

Read More

SERIKALI YAWAONYA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA JIMBO LA MBINGA VIJIJINI KUEPUKA ULEVI WAKATI WA ZOEZI LA UANDIKISHAJI KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

Na Mwandishi Wetu,Mbinga WAANDISHI wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki katika Jimbo la Mbinga vijijini mkoani Ruvuma,wameonywa kutokwenda kwenye vituo vya Uandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura wakiwa wamelewa bali kufanya kazi kwa kujituma, weledi na uadilifu ili waweze kufanikisha kazi hiyo. Wito huo umetolewa jana na Afisa Mwandikishaji wa Jimbo hilo Pascal…

Read More

Vijumbe wa upatu na mzigo wa madeni kwa wasio waaminifu

Dar es Salaam. Inaelezwa viongozi wengi wanaoongoza vikundi vya upatu wanakutana na changamoto kubwa ya madeni baada ya washiriki kushindwa kulipa fedha kwa wakati, kuchelewesha, au hata kutoweka bila taarifa. Hali hii imeathiri hasa upatu unaochezeshwa mtandaoni, ambapo baadhi ya wanufaika huzima simu, kuhama makazi, na hata kutoweka, jambo linalowaweka viongozi wa upatu kwenye matatizo….

Read More

Vijumbe wa upatu na mzigo wa madeni kwa sio waaminifu

Dar es Salaam. Inaelezwa viongozi wengi wanaoongoza vikundi vya upatu wanakutana na changamoto kubwa ya madeni baada ya washiriki kushindwa kulipa fedha kwa wakati, kuchelewesha, au hata kutoweka bila taarifa. Hali hii imeathiri hasa upatu unaochezeshwa mtandaoni, ambapo baadhi ya wanufaika huzima simu, kuhama makazi, na hata kutoweka, jambo linalowaweka viongozi wa upatu kwenye matatizo….

Read More

Hii hapa ratiba nzima sherehe ya Mapinduzi Zanzibar

Unguja. Leo ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wananchi wameanza kuingia katika Uwanja wa Gombani, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba zinapofanyika sherehe hizo. Katika sherehe hizo ambazo wageni waalikwa na viongozi mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuanza kuingia uwanjani hapo kuanzia saa 6:35 mchana,…

Read More

Nondo za Askofu Bagonza uchaguzi CCM, Chadema

Dar es Salaam. Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vikielekea kufanya mikutano mikuu ya uchaguzi, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amebainisha mambo 10 yenye tafakuri tunduizi na hatima ya vyama hivyo. Januari 18-19, 2025, jijini Dodoma, CCM itafanya mkutano…

Read More