Kwa refa huyu, Simba ijipange Cairo

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limemteua mwamuzi Boubou Traore kutoka Mali kusimamia mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, kati ya wenyeji Al Masry ya Misri na wawakilishi pekee wa Tanzania, Simba. Traore aliyezaliwa Machi 3, 1989, amepangwa kuchezesha mchezo huo utakaopigwa Aprili 2, kwenye Uwanja wa New Suez Canal huko…

Read More

Ripoti maalumu: Sababu kuzagaa kwa taka Dar-1

Dar es Salaam. Zaidi ya nusu ya taka jijini Dar es Salaam hazikusanywi kutokana na changamoto kadhaa, miundombinu ikitajwa. Kutokana na hali hiyo, Jiji la Dar es Salaam lenye wakazi milioni 5.3 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, kwa asilimia kubwa wananchi wanaishi katika mazingira yaliyozungukwa na takataka majumbani, hofu…

Read More

Miaka minne ya Magufuli kaburini, Chato kumkumbuka leo

Dar es Salaam. Jumatano ya Machi 17, 2021, Tanzania iligubikwa na wingu zito la kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hilo la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais. Dk Magufuli aliyezaliwa Chato…

Read More

WAZIRI WA IRELAND AHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI , ATEMBELEA DIT

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Biashara wa Ireland anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa, Maendeleo, na Diaspora, Mhe. Neale Richmond, amehitimisha ziara yake nchini kwa kutembelea Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT). Ziara hiyo imelenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland katika nyanja za teknolojia na nishati endelevu. Akiwa DIT, Mhe. Richmond alitembelea…

Read More

Namba za JKT Tanzania zinashtua

LICHA ya kwamba hawatajwi sana, lakini maafande wa JKT Tanzania namba walizonazo katika Ligi Kuu Bara iliyosimama kwa sasa zinashtua. Timu hiyo inayonolewa na kocha mzawa, Ahmad Ally ipo nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 30, lakini ikishika nafasi ya nne kwa timu zilizoruhusu mabao machache 17, nyuma ya Simba…

Read More

Upepo wa ubingwa Bara, mtego upo hapa!

UPEPO umebadilika. Upepo wa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara umebadilika baada ya timu kadhaa zilizokuwa zikichuana na vigogo Simba na Yanga kujichuja zenyewe njiani. Azam FC, Singida Black Stars na hata Tabora United zilizokuwa zikichuana na vigogo hivyo, kimahesabu ni kama zimekubali yaishe na mziki sasa umebaki kwa vigogo Simba na Yanga. Hata…

Read More