TARURA RUVUMA YAKEMEA UTUPAJI TAKA KWENYE MIFEREJI NA UCHIMBAJI MCHANGA KWENYE MADARAJA

Wakala wa barabara za Mijini na vijijini Mkoa wa Ruvuma imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uharibifu wa miundombinu ya barabara, huku ikikemea vitendo vya utupaji taka kwenye mifereji na uchimbaji mchanga kwenye madaraja, kwani vitendo hivi vinarudisha nyuma juhudi za maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…

Read More

RAIS MWINYI:SERIKALI INAJIPANGA UJENZI WA MAGHALA YA CHAKULA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali inajipanga kwa Ujenzi wa Maghala ya Kuhifadhia Chakula ili kuwa na Uhakika wa Chakula hivyo kujitokeza kwa Sekta binafsi kuanza kujenga ghala ni jambo linalopaswa kuungwa Mkono. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipofungua ghala la Kuhifadhia chakula Gando , Wilaya ya…

Read More

Simulizi hukumu kesi ya Sanga wa Chadema na wenzake – 3

Njombe. Katika simulizi ya kesi ya Jamhuri dhidi ya George Sanga na wenzake wawili iliyovuta hisia za wengi wakiwamo viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tulikuletea utetezi wa mshitakiwa wa kwanza katika kesi hii. Sanga na wenzake walishitakiwa kwa tuhuma za kumuua, Emmanuel Mlelwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tatizo la ajira litufunze kujiajiri

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote yaliyofanyika chini ya Mtemi. Walipita madarasani na kuiponda elimu yao, wakapita kwenye burudani na kuziponda ngoma zao. Hata kwenye nyumba za ibada walizikandia imani zao kwa kusema mambo yote waliyofuata…

Read More

Vita ya Mbowe, Lissu ina darasa pana kuliko siasa

Nimemwona Wakili Alute Mghwai, kaka wa Tundu Lissu, akisema anamtambua Freeman Mbowe kama mwanafamilia wao. Alute amezungumza kwa hisia kuhusu uhusika wa Mbowe katika uokoaji wa maisha ya Lissu, mdogo wake. Kila kitu chanzo chake ni Septemba 7, 2017. Watu wabaya kupita kiasi, walimshambulia Lissu kwa risasi zinazokadiriwa kufika 38. Walikusudia zile risasi zichukue uhai…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Mliomba, mnaomba, mtaomba mjue si jibu

Nashukuru. Nilimaliza mwaka uzuri. Nawatakieni mwaka mpya wenye heri wote wapenzi wangu na mafyatu wote. Niende kwenye ishu. Kuna mchezo hatari unaanza kufyatua mafyatu hadi baadhi yao wanawafyatua mafyatu waliokataa kufyatuka hadi wakafyatuliwa kirahisirahisi. Kuna kaugonjwa ka kuombaomba na kukopa njuluku toka kwa Wachina, wamanga, na watasha. Wapo wanaoomba baraka wanapokwenda kukopa! Huduma za kijamii,…

Read More

Mauaji ya Waalawi nchini Syria, kunyongwa nchini Iran, watetezi wa haki za binadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza mjini Geneva, OHCHR msemaji Liz Throssell alisema kuwa Ofisi inafahamu kuhusu ripoti na video zinazodaiwa kuonyesha mauaji ya wanaume wa Alawite huko Homs na miji mingine ya Syria tangu kupinduliwa kwa utawala wa Assad, ambao ulikuwa na uhusiano wa miongo mingi na Alawism – tawi la Uislamu wa Shia: “Tunafahamu taarifa hizo na ni…

Read More