Putin akubali kusitisha mapigano Ukraine, atoa masharti matatu
Rais wa Russia, Vladimir Putin amekubali kwa kanuni pendekezo la kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa muda wa siku 30 lililowasilishwa na Marekani, lakini ameweka masharti kadhaa. Amesisitiza kuwa vipengele muhimu vinahitaji kujadiliwa zaidi ili kuhakikisha amani ya kudumu. Masharti yaliyotolewa na Putin ni pamoja na Ukraine kutotumia kipindi cha kusitisha mapigano kujihami upya au kupokea…