
TARURA RUVUMA YAKEMEA UTUPAJI TAKA KWENYE MIFEREJI NA UCHIMBAJI MCHANGA KWENYE MADARAJA
Wakala wa barabara za Mijini na vijijini Mkoa wa Ruvuma imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uharibifu wa miundombinu ya barabara, huku ikikemea vitendo vya utupaji taka kwenye mifereji na uchimbaji mchanga kwenye madaraja, kwani vitendo hivi vinarudisha nyuma juhudi za maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari Meneja wa TARURA Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…