Hat trick zawapa heshima watatu Championship

WAKATI Kombe la Shirikisho likiwa hatua ya robo fainali, ni mastaa watatu tu wa timu za Ligi ya Championship walioweka heshima kwa kufunga hat trick katika michuano hiyo wakiwapiga bao hadi nyota wa Ligi Kuu Bara, iliyoingiza timu nyingi hatua ya 16 Bora. Nyota wa kwanza kufunga ‘Hat-Trick’ ni Kassim Shaibu ‘Mayele’ wa TMA FC,…

Read More

Kipa Dodoma Jiji azipotezea sita za Simba

KIPA wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka ameingia katika orodha ya makipa waliopigwa mabao mengi katika mchezo mmoja baada ya Ijumaa kufungwa sita wakati timu hiyo ikifumuliwa 6-0 na Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, lakini amezipotezea kiaina akisema hazitawatoa katika reli. Ngeleka alifungwa mabao hayo kwenye Uwanja wa KMC Complex, akiungana na kipa…

Read More

Baada ya ubingwa, Clara akitaka kiatu Saudia

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayewasha moto katika klabu ya Al Nassr, Clara Luvanga amesema mabao 15 aliyofunga yanampa hamasa ya kuwania kiatu cha dhahabu huku supastaa wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwapongeza baada ya kuchukua ubingwa. Al Nassr inayoshiriki Ligi ya Wanawake Saudia juzi imechukua ubingwa kwa kuitandika Al Ahli mabao 3-1 bao moja likifungwa…

Read More

Mechi nane za kimkakati Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila amesema licha ya kukabiliwa na ratiba ngumu katika michezo minane iliyosalia kumaliza msimu huu, ila amejipanga kuhakikisha kikosi hicho kinamaliza nafasi nne za juu ili kupata nafasi ya kucheza ‘Play-Off’. Kauli ya Katwila inatokana na ratiba ngumu inayomkabili kwani katika michezo minane iliyobakia ni mitatu tu ya nyumbani, huku…

Read More

Neema Paul alivyovunja rekodi | Mwanaspoti

MIONGONI Mwa nyota wa kutazamwa kwenye kikosi cha Yanga Princess ni Neema Paul anayemudu kucheza winga zote mbili. Paul alijiunga na Yanga msimu uliopita 2023/24 akitokea Fountain Gate Princess 2022/23. Msimu wa kwanza akiwa na Yanga kwenye mechi 18, alifunga mabao manne na kumfanya amalize kinara wa ufungaji kwa Wananchi. Msimu huu kwenye mechi 12…

Read More

JUMUIYA YA WAZAZI :CCM TUNAKIU YA UCHAGUZI,

Na Seif Mangwangi, Arusha UMOJA wa Wazazi Tanzania wa Jumuiya ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umesema wanachama wa Jumuiya hiyo wanakiu ya uchaguzi na wako tayari kuingia kwenye uchaguzi wakati wowote licha ya kusikia kuna baadhi ya vyama vya siasa vinataka kugomea uchaguzi Mkuu ujao. Aidha Jumuiya hiyo imeandaa kongamano kubwa la kimataifa litakaloainisha mafanikio…

Read More

Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali – MICHUZI BLOG

– Wapewa maarifa ya uchimbaji, vifaa– Wajenga shule, maabara ya kisasa MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa kati na baadaye mkubwa….

Read More