Hat trick zawapa heshima watatu Championship
WAKATI Kombe la Shirikisho likiwa hatua ya robo fainali, ni mastaa watatu tu wa timu za Ligi ya Championship walioweka heshima kwa kufunga hat trick katika michuano hiyo wakiwapiga bao hadi nyota wa Ligi Kuu Bara, iliyoingiza timu nyingi hatua ya 16 Bora. Nyota wa kwanza kufunga ‘Hat-Trick’ ni Kassim Shaibu ‘Mayele’ wa TMA FC,…