
Polisi Kenya wakana kuhusika na utekaji
Kenya. Wakati vijana wanne waliokuwa wamedaiwa kutekwa nyara wakiachiliwa katika maeneo tofauti nchini Kenya, polisi wamekana kuwateka au kuwaachia huru. Vijana hao wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wamepatikana wakiwa hai jana Januari 6, 2025, tovuti za Daily Nation na Tuko zimeripoti. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya…