VIONGOZI ACHENI KUWAKATISHA TAMAA WANAWAKE- DKT. TULIA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa upo umuhimu wa Viongozi waliopo madarakani kuacha kutoa hadithi za kusikitisha na kukatisha tamaa kwa wanawake na wasichana wanaopambania kesho yao iliyo nzuri kwenye Uongozi na badala yake kujiona wao ni sehemu…

Read More

‘Tutoe taarifa za vitendo vya ukatili’

Arusha. Ili kutokomeza vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto nchini, jamii imetakiwa kutoa taarifa za matukio hayo ili hatua za kisheria zichukuliwe. Hayo yamesemwa leo Jumapili Machi 16,2025 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis wakati akizungumza wilayani Arumeru katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji…

Read More

Haya ndio yanayojitokeza vituo vya uandikishaji wapigakura Zanzibar

Unguja. Licha ya awamu ya pili ya uandikishaji wapigakura kulenga wananchi ambao wamefikisha umri na hawakuwahi kuandikishwa, imebainika wananchi wengi wanakwenda kwenye vituo vya uandikishaji kubadilisha taarifa zao. Mbali na kutaka kuhamisha taarifa zao, pia wengine wanakwenda na kopi ya kitambulisho jambo ambalo halikubaliki bali wanatakiwa kuwa na kitambulisho halisi cha Mzanzibari mkaazi. Makamu Mwenyekiti…

Read More

Wananchi wanavyojipanga kibiashara Daraja la Pangani

Tanga. Wananchi wa Pangani wameanza kupiga hesabu za kibiashara baada ya kukamilika kwa Daraja la Pangani linaloiunganisha Barabara ya Tanga- Pangani-Bagamoyo yenye urefu wa kilomita 256. Mwishoni mwa wiki,  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imekagua mradi huo na mingine ya kimkakati mkoani Tanga huku ikitaka kasi ya ujenzi wa daraja iendane na ujenzi…

Read More

Banda aiponza Richard Bay, kisa Sh 360 Milioni

RICHARD Bay ya Afrika Kusini aliyowahi kuichezea Beki Kisiki Mtanzania, Abdi Banda imefungiwa moja kwa moja kusajili wachezaji wa ndani na nje hadi itakapomlipa nyota huyo Milioni 360 za mishahara na usajili. Banda kwa sasa anaitumikia Dodoma Jiji ya Tanzania kwa mkataba wa miezi sita baada ya kuvunja mkataba wake na Baroka FC ya Afrika…

Read More

Othman akerwa na Wasira, Mbeto kupotosha kuzuiwa kwao Angola

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman, ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu kilichowatokea nchini Angola. Othman ameenda mbali zaidi na kutaka mamlaka zinazowasimamia ziwachukulie hatua kwa kile alichoeleza kuwa upotoshaji walioufanya unaipaka matope Serikali….

Read More

Mlandizi kuaga WPL? | Mwanaspoti

HILI ni moja ya maswali ambayo pengine kwa wadau wa soka la wanawake wanalo jibu juu ya mwenendo wa mabingwa wa kihistoria, Mlandizi Queens. Mlandizi ndio ilikuwa timu ya kwanza kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake 2017/18 kisha baadae JKT Queens ikaipokonya na kutwaa mara mbili mfululizo. Timu hiyo iliyopanda daraja msimu huu kutoka…

Read More

SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR

Na Mwandishi Wetu, MBEYA, 16 Machi, 2025 KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) ulioanza mwaka 2021-2025 katika Mikoa mitano na Halmashauri za Wilaya saba nchini. Aidha kutokana…

Read More

Wakazi Dar walia na ‘vishandu’

Dar es Salaam. Ukiacha kurahisisha usafiri katika maeneo yenye msongamano na kuokoa muda, usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda katika Jiji la Dar es Salaam umekuwa nyenzo hatari kwa matukio ya uhalifu. Ni bodaboda hizo hizo zinazotumika katika ukwapuaji na unyang’anyi wa mali za raia katika jiji hilo, jambo linalozua hofu kwa wakazi wake. Unyang’anyi huo…

Read More