Polisi Kenya wakana kuhusika na utekaji

Kenya. Wakati vijana wanne waliokuwa wamedaiwa kutekwa nyara wakiachiliwa katika maeneo tofauti nchini Kenya, polisi wamekana kuwateka au kuwaachia huru. Vijana hao wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wamepatikana wakiwa hai jana Januari 6, 2025, tovuti za Daily Nation na Tuko zimeripoti. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya…

Read More

Chadema yaonya minyukano ya wagombea

Dar es Salaam. Wakati minyukano ya wazi na ya chini kwa chini ikiendelea kuelekea uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ngazi ya taifa, Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika ametoa onyo kwa wanachama, wagombea na mawakala wao, akiwataka kufuata miongozo ya kampeni la sivyo hatua zitachukuliwa dhidi yao. Miongozo hiyo ni ile…

Read More

Madereva wenye leseni, hawana vyeti kikaangoni

Moshi. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kilimanjaro, limeendelea na operesheni maalumu ya kuhakiki leseni za madereva wa magari ya abiria. Jeshi hilo limesema madereva watakaokutwa hawana sifa za kuendesha magari hayo wataondolewa barabarani. Jana, Januari 6, 2025 baadhi ya magari madogo aina ya Toyota Noah yanayobeba abiria kati ya Moshi Mjini…

Read More

Kagera Sugar yafuata mido Kenya

KLABU ya Kagera Sugar, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Tusker FC, Saphan Siwa Oyugi, kwa ajili ya kumsajili kama mchezaji huru. Hata hivyo, ingawa taarifa za awali zimesambaa kwamba usajili huu umekamilika, bado haijathibitishwa rasmi na klabu ya Kagera Sugar au Tusker FC. Kwa mujibu wa vyanzo, pande zote mbili zimefikia makubaliano ya…

Read More